picha

Vyakula vya wanga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini

VYAKULA VYA WANGA

1. Mahindi

2. Mtama

3. Mihogo

4. Viazi

5. Ngano

6. Mikate

7. Mtama

8. Mchele

9. Keki

10. Krosho

11. Karanga

12. Ndizi

13. Nyama

14. Mayai

15. Maziwa

 

Kazi za wanga

1. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nguvu yaani nishati

2. Husaidia katika kuvunjavunja fati mwilini

3. Hupunguza matumizi ya protini kwa ajili ya kuzalisha nishati

4. Hutumika katika kutengenezea bidhaa na madawa

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2953

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kunywa maziwa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za peaz/ peas

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi

Soma Zaidi...
FAIDA ZA KULA ZABIBU

Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Kazi kuu tatu za Vitamini C mwilini

Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa

Soma Zaidi...
Vyakula vya protini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini

Soma Zaidi...