Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini
VYAKULA VYA WANGA
1. Mahindi
2. Mtama
3. Mihogo
4. Viazi
5. Ngano
6. Mikate
7. Mtama
8. Mchele
9. Keki
10. Krosho
11. Karanga
12. Ndizi
13. Nyama
14. Mayai
15. Maziwa
Kazi za wanga
1. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nguvu yaani nishati
2. Husaidia katika kuvunjavunja fati mwilini
3. Hupunguza matumizi ya protini kwa ajili ya kuzalisha nishati
4. Hutumika katika kutengenezea bidhaa na madawa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo.
Soma Zaidi...Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake
Soma Zaidi...