Vyakula vya wanga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya wanga na umuhimu wake mwilini
VYAKULA VYA WANGA
1. Mahindi
2. Mtama
3. Mihogo
4. Viazi
5. Ngano
6. Mikate
7. Mtama
8. Mchele
9. Keki
10. Krosho
11. Karanga
12. Ndizi
13. Nyama
14. Mayai
15. Maziwa
Kazi za wanga
1. Kazi kuu ya wanga ni kutupatia nguvu yaani nishati
2. Husaidia katika kuvunjavunja fati mwilini
3. Hupunguza matumizi ya protini kwa ajili ya kuzalisha nishati
4. Hutumika katika kutengenezea bidhaa na madawa
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 web hosting 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Faida za kiafya za topetope (accustard apple/sweetsop)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope
Soma Zaidi...Umuhimu wa kutumia maembe kiafya.
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia maembe kiafya, tunajua wazi kuwa maembe ni tunda ambalo lina umuhimu kwenye afya na uwa na vitamini C kwa hiyo tunapaswa kujua faida zake kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...