Faida za kula Ndizi
Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho
10.Ndizi (banana).
Ndizi zina vitamin na madini, ndizi zina madini ya potassium kwa kiasi kikubwa sana. Moja katika sifa kuu ya ndizi ni kuwa na carb makeup. Carb ni ukijani uliopo kwenye ndiri ambayo haijaiva. Ukijani huu una starch kwa wingi ambao husaidia katika kuthibiti sukari kwenye damu. Na kuimarisha mmengβenyo wa chakula.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Simulizi za Hadithi Audio π2 Kitabu cha Afya π3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π4 Madrasa kiganjani π5 Dua za Mitume na Manabii π6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Faida za kula viazi mbatata
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Sababu za kuwa na fangasi ukeni
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Faida za mchai chai
Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai.
Soma Zaidi...Dalili za upungufu wa vitamini C
Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa
Soma Zaidi...