picha

Faida za kiafya za kula Zabibu

Faida za kiafya za kula Zabibu



Faida za kula zabibu:

  1. zabibu lina virutubisho vingi kama vitamini C , B6 na K na fat na madini ya shaba na manganese.
  2. Ina antioxidanti zinazohusika kuondoa sumu za kemikali na vyakula mwilini
  3. Hupunguza athari ama hatari ya magonjwa kama saratani, kisukari na maradhi ya moyo na mishipa ya damu
  4. Huondoa stress na misongo ya mawazo
  5. Hushusha shinikizo la damu
  6. Hupunguza cholesterol mbay
  7. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
  8. Husaidia kuimarisha afya ya macho
  9. Huimarisha afya ya ubongo na utunzaji wa kumbukumbu
  10. Husaidia kuboresha afya ya mifupa
  11. Husidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria, virusi na fangasi
  12. Hupunguza kuzeheka mapema


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 4105

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Dua za Mitume na Manabii     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 web hosting     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka

Soma Zaidi...
Vitamini na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Vitamini C Ni nini?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana na historia ya vitamin C

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamini na faida zake

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake

Soma Zaidi...