Faida za kiafya za kula Viazi mbatata

Faida za kiafya za kula Viazi mbatata



Faida za kiafya za viazi mbatata

  1. ni chakula kizuri kwa afya ya mifupa
  2. Husaidia kushusha presha ya damu
  3. Ni chakula kizuri kwa afya ya moyo
  4. Husaidia katika afya ya ubongo kauka kutunza kumbukumbu, kujifunza, kurelax
  5. Husaidia katika ukuaji wa mtoto
  6. Uboreshaji wa mfumo wa fahamu na kuboresha seli
  7. Husaidia katika mapambano dhidi ya saratani
  8. Huzuia tatizo la kukosa choo
  9. Husaidia kupunguza uzito
  10. Ni chakula kizuri kwa afya ya ngozi
  11. Husaidia katika kuboresha mfumo wa kinga
  12. Viazi mbatata vina virutubisho kama vitamini C na vitamini B6. pia fati, wanga na protini. Pia kuna madini ya chuma, zinc, potassium, magnesium, phosphorus na mengineyo mengi


                   

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2987

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula uyoga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga

Soma Zaidi...
Faida za kula Ukwaju

Zitambue faida kubwa za kula karanga kwa ajili ya afya yako

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple

Soma Zaidi...
FAIDA ZA MATUNDA

Somo hili linakwenda kukuletea faida za MATUNDA mbalimbali na mboga, upatikanaji wake na faida zake kiafya. Pia utakwenda kuona MATUNDA na mboga ambayo Ni kinga dhidi ya maradhi hatari Kama kisukari, saratani, maradhi ya moyo na mfumo wa fahamu pamoja na

Soma Zaidi...
vyakula vya kuongeza damu, dalili zake na sababu za upungufu wa damu

Zijuwe sababu za upungufu wa damu, dalili za upungufu wa damu na kazi za damu mwilini,n avyakula vya kuongeza damu

Soma Zaidi...
Nini maana ya protini

Unaijuwa maana ya virutubisho vya protini, na kazi zake mwilini. Soma zaidi hapa

Soma Zaidi...
Zabibu (grapefruit)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za zabibu

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula passion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion

Soma Zaidi...