picha

Faida za kiafya za kula Stafeli

Faida za kiafya za kula Stafeli



faida za kiafya za stafeli (soursop)

  1. stafeli lina virutubisho kama vitamini A na C. pia lina protini, na madini ya potassium na magnessium.
  2. Husaidia katika kulinda miili yetu dhidi ya kemikali ndani ya mwili
  3. Husaidia katika kuuwa seli za saratani
  4. Husaidia mwili katika kupambana na bakteria
  5. Husaidia mwili dhidi ya kupata vimbe na mashambulizi ya mara kwa mara
  6. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari mwilini
  7. Husaidia kwa wenye kisukari


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2181

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula magimbi/ taro roots

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kitunguu maji

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za stafeli/soursop

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop

Soma Zaidi...