Faida za kiafya za kula samaki

Faida za kiafya za kula samaki



Faida za kiafya za kula samaki

  1. samaki wana virutubisho kama protini, fati, vitamini kama vitamini D na madini mbalimbali kama iodine.
  2. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo kama shambulio la moyo na stroke
  3. Ni chakula kizuri kwa ukuaji bora wa mtoto
  4. Husaidia katika ukuaji wa ubongo na afya ya ubongo
  5. Hupunguza stress na misongo ya mawazo
  6. Ni chanzo kikubwa cha vitamini D
  7. Hulinda mwili dhidi ya kupata kisukari
  8. Huzuia pumu kwa watoto
  9. Huboresha afya ya macho hasa kwa wazee
  10. Husaidia kupata usingizi mwororo
  11. Samaki ni chakula kitamu.


                   

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 982

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Maji pia yanawezakuwa dawa kwa akili

Umeshawahi kuumwa na dawa yako ikawa maji? Huwenda bado basi hapa nitakujuza kidogo tu, juu ya jambo hili.

Soma Zaidi...
Hizi ndio kazi za madini mwilini mwako

Post huu inakwenda kukupa orodha ya madini muhimu kwa ajili ya afya yako.

Soma Zaidi...
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)

Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya

Soma Zaidi...
Kazi za tunda la papai katika kurekebisha homoni imbalance

Posti hii inahusu zaidi kazi za tunda la mpapai katika kurekebisha homoni.ni tunda ambalo ufanya kazi yake kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho muhimu ndani ya tunda hili.

Soma Zaidi...
Faida za kitunguu maji/ onion

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini

Soma Zaidi...
Faida 5 za asali na matumizi yake.

Katika post hii utakwenda kujifunza faida na matumizi ya asali mwilini.

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa vitamini C

Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa

Soma Zaidi...
Kazi kuu tatu za Vitamini C mwilini

Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa

Soma Zaidi...