Posti hii inahusu zaidi kazi za tunda la mpapai katika kurekebisha homoni.ni tunda ambalo ufanya kazi yake kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho muhimu ndani ya tunda hili.
1. Tunda la mpapai usaidia kurekebisha hedhi .
Ufanya hivyo kwa sababu ya kuwepo virutubisho vya carotene madini ya chuma, kalisiuma na vitamin A.
2. Virutubisho hivyo ufanya kazi mbalimbali kwenye via vya uzazi na kuleta ulaini Fulani ambao usababisha kuwepo kwa wepesi wakati wa hedhi na hivyo kupunguza maumivu wakati wa hedhi.
3. Wakati wa kutumia papai tumia kwa kiasi chake walau nusu papai kwa siku, pamoja na kusaidia kwenye homoni imbalance vile vile usaidia katika mfumo wa umengenyaji.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tunda pera
Soma Zaidi...Nazi ni katika matunda bora sana kiafya, Soma faida zake kwa afya yako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za upungufu wa iodini ambapo kitaalamu hujulikana Kama goiter. Goiter Ni Sababu ya kawaida ya goiter duniani kote ni ukosefu wa iodini katika chakula. Nchini Marekani, ambako utumiaji wa chumvi yenye iodini ni j
Soma Zaidi...Uchachu wa ukwaju, ndio ubora wake, kuna virutubisho vingi kwa kula ukwaju, soma makala hii
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula papai
Soma Zaidi...