Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA NYAMA
1. tunapata vitutubisho kama protini, vitamini na fati
2. Husaidia kuongeza uzito
3. Huboresha afya ya mifupa
4. Husaidia kwa ukuaji bora na wa haraka
5. Hulinda miili dhidi ya utapia mlo
6. Madini yaliyomo kwenye nyama husaidia mwili katika kujilinda.
7. Nyama ni chakula kitami
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass
Soma Zaidi...Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maboga
Soma Zaidi...