Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA NYAMA
1. tunapata vitutubisho kama protini, vitamini na fati
2. Husaidia kuongeza uzito
3. Huboresha afya ya mifupa
4. Husaidia kwa ukuaji bora na wa haraka
5. Hulinda miili dhidi ya utapia mlo
6. Madini yaliyomo kwenye nyama husaidia mwili katika kujilinda.
7. Nyama ni chakula kitami
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Utajifunza vyakula vyenye madini kwa wingi, kazi za madini mwilini na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo,
Soma Zaidi...Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani
Soma Zaidi...Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho
Soma Zaidi...Kuchaguwa vinywaji si jambo rahisi, lakini inabidi iwe hivyo kama una tatizo la kisukari. Je unasumbuka kujuwa vinywaji salama? makala hii ni kwa ajili yako, hapa tutaona vinywaji ambavyo ni salama kwa mwenye kisukari.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas
Soma Zaidi...