image

Faida za kiafya za kula ndizi

Faida za kiafya za kula ndizi



Faida za kula ndizi

  1. ni chanzo kikuu cha vitamini B6
  2. Pia ni chanzo kizuri cha vitamini C
  3. Ndizi ni nzuri kwa afya ya ngozi
  4. Madini ya postassium yaliyopo ndani ya ndizi husaidia kuboresha afya ya moyo na presha ya damu
  5. Husaidia katika kuboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  6. Ndizi humpatia mlaji nguvu
  7. Ndizi zina virutubisho vingine kama protini, fati na madini
  8. Huthibiti kiwango cha sukari kwenye damu
  9. Husaidia katika kupunguza uzito zaidi
  10. Huondosha sumu za vyakula mwilini
  11. Husaidia katika kuimarisha afya ya figo


                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 300


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Faida za kiafya za kula Nyama
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula fyulisi/ peach
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach Soma Zaidi...

Vitamini C ni nini, na vipo kwenye nini?
Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza damu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula njegere, kunde, mbaazi, njugu mawe na maharage Soma Zaidi...

Ndizi (banana)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndizi Soma Zaidi...

Fahamu Vitamini E na nz kazi zake, vyakula vya vitamini E na athari za upungufu wake
Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake Soma Zaidi...

UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Mboga ambazo zimekuwa kuweka kiwango cha sukari juwa sawa
Posti hii inahusu zaidi mboga mboga za majani ambazo zinaweza kuweka sukari kwenye kiwango cha kawaida. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Maini
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Embe
Soma Zaidi...

Kazi za protini mwilini ni zipi?
Virutubisho vya protini vina kazi nyingi mwilini. Zifuatazo ndio kazi protini mwilini Soma Zaidi...