Faida za kiafya za kula bamia

  1. Bamia lina virutubisho kama vitamini C, vitamini K, vitamini A na vitamini B. pia bamia lina protini, fati na madini ya magnesium.
  2. Bamia lina antioxidant ambazo hulinda mwili dhidi ya maradhi
  3. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo
  4. Hulinda mwili dhidi ya maradhi ya saratani
  5. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
  6. Husaidia kwa wanawake wenye ujauzito na ukuaji wa mtoto