picha

Matendo ya hijjah na umrah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

  1. Ihram na Nia ya Hija na Umrah.

-    Ihram huvaliwa nyumbani au katika vituo (miiqaat) vya kunuia Hija na Umrah.

-    Nia ya Hija na Umrah hufanyika katika miiqaat baada ya kuswali rakaa mbili.

    Rejea Qur’an (22:27-28). 

 

  1. Talbiya.

-    Ni maneno ya kuitikia wito wa Mwenyezi Mungu (s.w) kulingana na aina ya Hija anayokusudia Hajj.

-    Maneno haya huanzia miiqaat hadi kufikia Ka’abah.

 

  1. Tawafu.

-    Ni kitendo cha kuizunguka Ka’abah mara saba kuanzia kona ya jiwe jeusi (Hajaral-aswad) kwa kulibusu au kuligusa kwa kidole au kuashiria.

 

-    Mzunguko hufanywa kwa mwelekeo wa kinyume na mwendo wa saa (Ant-clockwise direction).

 

-    Tawafu hufanywa mtu akiwa katika twahara, Hajj akikatisha tawafu kwa udhuru wowote ule, ataanzia pale alipokatishia.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 2081

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 web hosting     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 kitabu cha Simulizi     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zinazofanana:

Nguzo za swaumu (kufinga)

Hapa utajifunza nguzo kuu za swaumu. Kama hazitatimia nguzo hizi basi swaumu itakuwa ni batili.

Soma Zaidi...
Nini maana ya ndoa katia uislamu na ni upi umuhimu wake

Hapa utajifunza maana ya ndoa kulingana na uislamu na umuhimu wake katika jamiii

Soma Zaidi...
Je mahari inashusha hadhi ya mwanamke katika jamii

Unadhani mwanamke kupewa mahari kitendo hiki kinaweza kushusha hadhi yake?

Soma Zaidi...
Swala ya Istikhara na jinsi ya kuiswali

Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu swala ya Istikhara

Soma Zaidi...