Aina za tawafu
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Aina za Tawafu.
- Tawaful-Quduum.
- Ni tawafu (ya Umrah) inayofanywa mara tu baada ya kuingia Makkah kwa ajili ya Hija au Umrah.
- Wanaume huvalia vipande viwili vya shuka, moja kiunoni na nyingine hufungwa lubega kwa kuacha wazi bega la kushoto (Iztibaa).
- Wwanaume hutembea mwendo wa matiti (jogging) (kukimbia - Ramal) mizunguko ya tatu ya mwanzo na minne iliyobaki kawaida.
- Tawaful – Ifadha (Tawafu ya Nguzo).
- Ni tawafu ya Hija inayofanywa siku ya mwezi 10, Dhul-Hija. Pia inaitwa Tawafuz-Ziyaara.
- Hakuna Iztibaa na Ramal katika tawafu hii.
- Tawaful-Widaa.
- Ni tawafu ya kuaga inayofanyika baada ya kumaliza Umrah au Hija tayari kurejea majumbani mwao.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Sifa za imamu wa swala ya jamaa
Post hii inakwenda kukupa sifa za imamu wa msikitini anayepasa kuswalisha swala ya jamii.
Soma Zaidi...MTAZAMO NA HUKUMU YA KUPANGA UZAZI WA MPANGO KWENYE UISLAMU
Atika uislamu swala la kupanga uzazi linaruhusiwa endapo kutakuwa na sababu maalumu za kisheria.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu:Shahada
Nguzo za uislamu: Shahada (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Baada ya kumzika maiti nini kifanyike kumsaidia marehemu
Tumesha mzika maiti sasa imebakia mali yae nyumbani, watoto, wake na menginyeo.
Soma Zaidi...