Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Ni tawafu (ya Umrah) inayofanywa mara tu baada ya kuingia Makkah kwa ajili ya Hija au Umrah.
- Wanaume huvalia vipande viwili vya shuka, moja kiunoni na nyingine hufungwa lubega kwa kuacha wazi bega la kushoto (Iztibaa).
- Wwanaume hutembea mwendo wa matiti (jogging) (kukimbia - Ramal) mizunguko ya tatu ya mwanzo na minne iliyobaki kawaida.
- Ni tawafu ya Hija inayofanywa siku ya mwezi 10, Dhul-Hija. Pia inaitwa Tawafuz-Ziyaara.
- Hakuna Iztibaa na Ramal katika tawafu hii.
- Ni tawafu ya kuaga inayofanyika baada ya kumaliza Umrah au Hija tayari kurejea majumbani mwao.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu mambo ya haramu kwa mwenye hadathi kubwa
Soma Zaidi...Katika kipengele hiki tutajifunza nguzo za uislamu.aina tano za nguzo za uislamu,dhana ya nguzo za uislamu,lengo na umuhimu wa nguzo za uislamu
Soma Zaidi...Assalaam alykum warahmatullah wabarakatuh.
Soma Zaidi...Masharti ya Utoaji wa Zakat na Swadaqat Utoaji katika njia ya Allah (s.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya twahara katika uislamu. Pia utakwenda kujifunza hukumu za twahara, aina za twahara na mambo mengineyo
Soma Zaidi...