Hija ya Kuaga na Kutawafu kwa Mtume (s.
Hija ya Kuaga na Kutawafu kwa Mtume (s.a.w).
- Ilikuwa mwaka wa 10 A.H alikwenda kuhiji na Waislamu zaidi ya 100,000 baada ya kutimia miaka 23 ya Utume.
Rejea Qurβan (5:3).
- Mtume (s.a.w) mwezi 9 Dhul-Hija, 10 A.H akiwa Viwanja vya Arafa, alikhutubia waislamu akiwa juu ya ngamia.
- Mtume (s.a.w) alianza kuugua miezi miwili baada ya Hija ya Kuaga na hatimaye alifariki jioni siku ya Jumatatu mwezi 12 Rabiβal-Awwal, 11 A.H.(Juni 8, 632 A.D.) akiwa na umri wa miaka 63.
Umeionaje Makala hii.. ?
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Posti hii itakufundisha masharti yanayohitajika kwa mwenye kutaka kutia udhu.
Soma Zaidi...*Suala la kumilikiwa binaadam (utumwa), japokuwa linaendelea kutajwa kwenye Sharia (katika vitabu), ni suala ambalo haliko.
Soma Zaidi...Utangulizi:Uislamu unamuelekeza mwanaadamu namna nzuri ya kuendesha maisha yake katika kila kipengele cha maisha akiwa binafsi, katika familia na katika jamii.
Soma Zaidi...Maana ya elimuElimu ni ujuzi ulioambatanishwa na utendaji.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukufundisha kuhush swala za sunnah.
Soma Zaidi...