Homa ya Dengue, dalili za homa ya dengue na Njia ya kujikinga nayo

HOMA YA DENGUEHoma ya dengue ni miongoni mwa maradhi hatari ambayo husambazwa na mbu.

Homa ya Dengue, dalili za homa ya dengue na Njia ya kujikinga nayo

HOMA YA DENGUE
Homa ya dengue ni miongoni mwa maradhi hatari ambayo husambazwa na mbu. Huweza kutokea katia maeneo ynye uoto wa kitropiki kama maeneo ya Afrika na Asia. Dengue kitaalamu pia hufahamika kama hdengue emorrhagic fever. Homa hii huweza kusababisha kushuka kwa presha ya damu, homa kali sana kutokwa na damu na hata kufariki.

Ugonjwa wa dengue huweza kuathiri mamilioni ya watu dunia nzima bado wataalamu wapo katika kutafuta chanjo ya ugonjwa huu. Kama ilivyo magonjwa mengine ya virusi dengue pia haina dawa maalumu, lakini mgonjwa atatibiwa kulingana na dalili anazoonyesha na hatimaye atapona. Wagonjwa wengi hupata nafuu dani ya wiki moja.

DALILI ZA UGONJWA WA HOMA YA DENGUE
1.homa kali sana inayofika nyizi 41 za sentigredi
2.Maumivu ya kicha
3.Maumivu ya misuli, viungio na mifupa
4.Maumivu nyuma ya macho

Pia unaweza ukaona dalili nyingine kama:-
1.kuenea kwa ukurutu mwilini
2.Kuchefuchefu na kutapika
3.Kutokwa na damu kwenye finzi na pua

ATHARI ZA KUCHELEWA KUTIBUWA KWA HOMA YA DENGUE
1.kutoka damu kwa wingi kwenye pua na mdomo
2.Maumivu makali sana ya tumbo
3.Kutapika kusikokoma
4.Kutokwa na damu chini ya ngozi
5.Matatizo kwenye ini, mapafu na moyo
6.Kifo

SABABU ZA HOMA YA DENGUE
Kama tulivyoona hapo juu kuwa homa ya dengue husababishwa na virusi ambao wanasambazwa na mbu. Pindi mbu kwenye virusi hawa akimng’ata mtu kumuachia virusi vya dengue.

NJIA ZA KUPAMBA NA NA HOMA YA DENGUE
Mpaka sasa hakuna chanjo ya homa ya dengue. Hivyo njia madhubuti na ya kipekee ni kujiepusha na kungwata na mbu aina ya Aedes aegypti. Kwa kutokomeza mazalia yote ya mbu karibu na maeneo unayoishi. Mbu hawa wanang’ata wakati wa mchana tofauti na mbu wanaoleta malaria ambao hung’ata wakati wa usiku.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1374

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Jinsi ya kutoa huduma ya kwanz akwa liyeshambuliwa na pumu

Hii ni huduma ya kwanza kwa aliyeshambuliwa na pumu katika mazingira ambayo ni mbali na kituo cha afya, na hakuna dawa.

Soma Zaidi...
UGONJWA WA HOMA YA VIRUSI VYA ZIKA (ZIKV) VINAVYO SABABISHWA NA KUNG'ATWA NA MBU

Mnamo mwaka 2016 World Health Organization (WHO) iliitisha kikao cha dharura mnamo mwezi tarehe 1 mwezi wa pili mpaka tarehe 13 mwezi wa nne.

Soma Zaidi...
Viungo vinavyoathiriwa na malaria

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria

Soma Zaidi...
Dalili za kwanza za HIV na UKIMWI kuanzia wiki ya kwanza toka kuathirika

DALILI ZA HIV ZA MWANZO NA DALILI ZA UKIMWI ZA MWANZO Kama ilivyo magonjwa mengi hupitia hatua kadha kadha na kuonyesha dalili kadha katika hatua hizo.

Soma Zaidi...
Zijue hatua za kufata ili kuepuka maradhi ya tumbo

Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya tumbo.

Soma Zaidi...
Bawasili usababishwa na nini?

Posti hii inahusu zaidi visababishi vya ugonjwa wa Bawasili,kuna watu wengi wanapenda kujua kabisa chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii na kuna maswali mengi yanayoulizwa kuhusu visababishi vya Bawasili.

Soma Zaidi...
ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO

ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO Kuachwa kwa vidonda vya tumbo bila kutibiwa, vinaweza kusababisha: Kutokwa na damu kwa ndani.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa coma

Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la Kichwa, Kiharusi, Uvimbe kwenye ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi,

Soma Zaidi...
Sababu za kutokea kwa maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutokea kwa maumivu ya jino

Soma Zaidi...