Dalili za ugonjwa wa gonoria (gonorrhea)
UGONJWA WA GONORIA NA DALILI ZAKE (GONORRHEA)Gonoria (gonorrhea) ni katika maradhi yanayoambukizwa kwa njia ya ngono.
UGONJWA WA GONORIA NA DALILI ZAKE (GONORRHEA)
Gonoria (gonorrhea) ni katika maradhi yanayoambukizwa kwa njia ya ngono. Ugonjwa huu husababisha na bakteria na huathiri sehemu za mirija ya mkojo (urthra) puru ama koo.
DALILI ZA UGONJWA WA GONORIA (GONORRHEA)
Kwa wanaume
1.Maumivu wakati wa kukojoa
2.Kutokwa na usaha kwenye kichwa cha uume
3.Maumivu ama kuvimba kwa korodani moja
Kwa wanawake
1.kutokwa na uchavu ukeni
2.Maumivu wakat wa kukojoa
3.Kutokwa na damu wakati wa hedhi isiyokuwa ya hedhi ama baada ya kukutana kimwili
4.Maumivu ya tumbo
5.Maumivu ya nyonga
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 web hosting 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Vidonda vya tumbo chanzo chake na dalili zake
Katika post hii utajifunz akuhusu vidonda vya tumbo na jinsi vinavyotokea. Utajifunza pia tahadhari anazopasa mtu achukuwe na vyakula salama anavyopaswa kula.
Soma Zaidi...Maumivu ya kifua: Je, yanaweza kuwa ishara ya ugonjwa wa moyo?
Maumivu ya kifua ni dalili inayopaswa kuchukuliwa kwa uzito mkubwa kila wakati. Ingawa si kila maumivu ya kifua yanamaanisha ugonjwa wa moyo—kwani yanaweza kusababishwa na matatizo ya mmeng'enyo wa chakula, misuli, au mapafu—ni vigumu sana kwa mtu wa kawaida kutofautisha kati ya maumivu ya kawaida na yale yanayoashiria dharura ya moyo. Makala haya yanalenga kukupa elimu kuhusu dalili hatari, sababu nyingine za maumivu, na wakati sahihi wa kutafuta msaada wa kitabibu wa haraka.
Soma Zaidi...Kupoteza nywele kwa wingi (Hair loss): Sababu na tiba.
Kupoteza nywele ni jambo linaloweza kuathiri hali ya kujiamini ya mtu yeyote. Ingawa ni kawaida kupoteza nywele 50 hadi 100 kila siku, kupoteza nywele kwa wingi kiasi cha kuacha sehemu wazi kichwani ni ishara kuwa kuna kitu hakiko sawa. Makala haya yanakusaidia kuelewa sababu zinazochochea hali hii na namna unavyoweza kurejesha afya ya nywele zako.
Soma Zaidi...Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.
Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo
Soma Zaidi...Dalili za kisukari na njia za kuzuia kisukari
Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisakari, dalili zake,na namna ya kujikinga usipate kisukari au Kama tayari unakisukari ukijikinga madhara yanapungua au kupona kabisa.Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwa
Soma Zaidi...VYANZO VYA MINYOO: nyama isiyowiva, maji machafu, kinyesi, uchafu wa mazingira, udongo
VYNZO VYA MINYOO Kama tulivyoona hapo mwanzo kuusu aina za minyoo, pia tumeona vyanzo vya minyoo hao kulingana na aina zao.
Soma Zaidi...