Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia kuaribika kwa figo, hizi ni njia zinazotumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuaribika kwa figo na hasa wale ambao hawajapata tatizo hili wazitumie ili tuone kama tutaweza kupunguza tatizo hili.
1. kula vyakula vyenye kuupa mwili wako afya. Vyakula hivi ni kama samaki, matunda, mbogmboga na kuepuka vyakula visivyo boresha afya kama vyenye mafuta mengi, chumvi nyingi ama vyenye sukari nyingi.
2. fanya mazoezi kwa mara kwa mara. Kufanya mazoezi sio tu kuwa kunaboresha afya ya figo bali kunaboresha afya ya viungo vingine kama moyo, misuli na mifumo mingine ya mwili. Pia mazoezi hufanya mwili kuwa imara.
3. hakikisha una uzito wa kawaida. Uzito kuzidi tofauti na kawaida kunaweza kusababisha shida nyingi za kiafya kama hatari ya kuweza kupata kisukari, pia huhatarisha afya ya moyo na figo. hakikisha uzito wako unaendana na urefu wako. Ongea na daktari kujuwa kama uzito wako umeendana na urefu wako.
4. Pata usingizi wa kutosha. Mwili unahitaji usingizi kwa ajili ya mambo mengi, usingizi husaidia mwili kutibu majeraha kwa ufanisi, kuboresha mfumo wa kinga na kufanya mwili ku starehe (relax). Mtu akikosa ukisngizi anaweza kuwa katika hatari ya kupata maradhi mbalimbali ikiwepo maradhi ya figo.
1. Wacha kuvuta sigara
2. Punguza kunywa pombe
3. Punguza misongo ya mawazo
4. Hakiisha sukari ya mwili ipo katika hali ya kawaida.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kiafya yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Kwa binadamu sababu ya kawaida ni Mycobacterium tuberculosis.
Soma Zaidi...postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya vidonda vya tumbo, nini hasa chanzo chake, vipi vinatokea ni zipi dalili zake, ni zipi njia za kujilinda dhidi ya vidonda vya tumbo. Pia tutaangalia matibabu ya kutibi vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya undetectable viral load
Soma Zaidi...Hivi badovunasumbuliwa na fangasi kwenye mdomo ama ulimi. Ni dawa gani umeshatumia bila mafanikio?.
Soma Zaidi...Posti hii utokea huduma ya kwanza kwa mtu aliye na shida ya kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo,
Soma Zaidi...Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.
Soma Zaidi...Maumivu ya kifuwa yanaweza kutokea baada ya kubeba kitu kizito, ama kupata mashambulizi ya vijidudu vya maradhi. maumivu ya viungo na hata vidonda vya tumbo. Lakini sasa umesha wahi fikiria maumivu ya kifuwa kwa katikati?
Soma Zaidi...Seli ni chembechembe hai ambazo zimo ndani ya mwili wa binadamu na hufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, binadamu hawezi kuishi bila seli.
Soma Zaidi...