Hii ni project ya HTML ambayo imetengenezwa kulingana na mafunzo ya HTML level1. Tunatarajia project hii kuboreshwa kadiri mafunzo yanavyozidi kusonga mbele.
SOMO LA SABA PROJECT
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<meta charset="UTF-8">
<title>Home Page</title>
</head>
<body>
<body style="background-color:lightblue">
<menu style="background-color:violet">
<a href="android.html"><button>Android</button></a>
<a href="html.html"><button>Html</button></a>
<a href="video.html"><button>Video</button></a>
<a href="contact.html"><button>Contact</button></a>
</menu>
<img src="image/p4.jpeg" width="100%">
<h1><u>Welcome to our website</u></h1>
<p style="text-align:justify">Hii ni website ambayo ni demo kwa ambao wameshiriki mafunzo ya <b>HTML</b>. Mafunzo haya yameendeshwa kwa njia ya simu kwa kutumia App inayoitwa <mark>TrebEdit</mark></p>
<p>Katika mafunzo haya utajifunza mambo yafuatayo:- <br><br>
HTML:<br>
<b style="color:red">H</b>yper<br>
<b style="color:violet">T</b>ext<br>
<b style="color:yellow">M</b>arkup<br>
<b style="color:red">L</b>anguage<br>
<p style="background-color:black">
<i style="color:white">mafunzo haya
yamekujia kwa ihsani ya:</i><br><br>
</p>
<h3 style="text-align:center"><b style="color:black"><a href="bongoclass.com">bongoclass.com</a></b></h3>
</body>
</body>
</html>
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Hapa utajifunza utofauti kati ya php constant na variable. Na hili ni somo la nane katika mfululizo wa masomo haya ya php level 1.
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya DATABASE kwa kutumia MySQL na hili ni somo la pili. Hapa tutakwenda kuona kwa ufupi ni nini DATABASE
Soma Zaidi...Somo la pili katika mafunzo ya HTML level 2. Katika somo hili utajifunza maana ya HTML pamoja na historia yake fupi.
Soma Zaidi...Huu ni muendelezo wa mafunzo ya Database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la 10. katika somo hili tutakwenda kuendelea namna ya kupangilia muonekano wa data zako kwenye database.
Soma Zaidi...Huuu ni muendeleo wa mafunzo ya database kwa lugha ya kiswahili, na hili ni somo la nane. Katika somo hli utajifunza namna ya kuweka taarifa kwenye database, kuzfuta na kuziediti yaani kuzifanyia marekebisho.
Soma Zaidi...hili ni somo la tatu katika masomo ya php level 1. Hapa utajifunza zaidi kuhusu variable na namna ya kuitengeneza.
Soma Zaidi...Hili n somo la tatu katka muendelezo wa mafunzo ya HTML LEVEL 2 kwa lugha ya kiswahili. Mafunzo haya yanakujia kwa Ihsani ya bongoclass
Soma Zaidi...Karibu kwenye mafunzo ya PHP level 1 na hili ni somo la kwanza. Hapa utajifunza maana ya php, inavyofanya kazi pamoja na historia yake kwa ufupi
Soma Zaidi...Katika somo hili la 6 mafunzo ya HTML level 2, tutajfunza namna ya kugawa ukurasa wa wavuti wa html.
Soma Zaidi...Somo la nane mafunzo ya php, katika somo hili utajifunza kuhusu array na jinsi ya kutengeneza array.
Soma Zaidi...