Hii ni project ya HTML ambayo imetengenezwa kulingana na mafunzo ya HTML level1. Tunatarajia project hii kuboreshwa kadiri mafunzo yanavyozidi kusonga mbele.
SOMO LA SABA PROJECT
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1">
<meta charset="UTF-8">
<title>Home Page</title>
</head>
<body>
<body style="background-color:lightblue">
<menu style="background-color:violet">
<a href="android.html"><button>Android</button></a>
<a href="html.html"><button>Html</button></a>
<a href="video.html"><button>Video</button></a>
<a href="contact.html"><button>Contact</button></a>
</menu>
<img src="image/p4.jpeg" width="100%">
<h1><u>Welcome to our website</u></h1>
<p style="text-align:justify">Hii ni website ambayo ni demo kwa ambao wameshiriki mafunzo ya <b>HTML</b>. Mafunzo haya yameendeshwa kwa njia ya simu kwa kutumia App inayoitwa <mark>TrebEdit</mark></p>
<p>Katika mafunzo haya utajifunza mambo yafuatayo:- <br><br>
HTML:<br>
<b style="color:red">H</b>yper<br>
<b style="color:violet">T</b>ext<br>
<b style="color:yellow">M</b>arkup<br>
<b style="color:red">L</b>anguage<br>
<p style="background-color:black">
<i style="color:white">mafunzo haya
yamekujia kwa ihsani ya:</i><br><br>
</p>
<h3 style="text-align:center"><b style="color:black"><a href="bongoclass.com">bongoclass.com</a></b></h3>
</body>
</body>
</html>
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya DATABASE kwa kutumia MySQL na hili ni somo la pili. Hapa tutakwenda kuona kwa ufupi ni nini DATABASE
Soma Zaidi...Huu ni muendelezowa mafunzo ya database kwa kutumia MySQl na hili ni somo la 12. katika somo hili tutajifunza namna ya kufanya mahesabu kwa kutumia SQl katika database
Soma Zaidi...Karibu tena katika somo la nne la mafunzo ya HTML level2 html full course for beginners. Katika somo hili utajifunza kuhusu attributes na namna zinavyofanya kazi
Soma Zaidi...Somo la 10 mafunzo ya php level 1. Katika somo hili utajifunza kuhusu condition statement.
Soma Zaidi...haya ni mafunzo ya HTML level 2 kwa wenye kuanza. Mafunzo haya ni muendelezo wa level 1 html. Katika course hii utajifunza mengi zaidi lu;iko level1 pia tutazidi kuboresha project yetu.
Soma Zaidi...Hili ni somo la Tatu katika mfululizo wetu wa mafunzo ya HTML kwa basic level kwa wanaoanza kujifunza. Hapa tutakwenda kujifunza tag za html ambazo huwa zinatumika katika uandishi.
Soma Zaidi...Huuu ni muendeleo wa mafunzo ya database kwa lugha ya kiswahili, na hili ni somo la nane. Katika somo hli utajifunza namna ya kuweka taarifa kwenye database, kuzfuta na kuziediti yaani kuzifanyia marekebisho.
Soma Zaidi...somo hili la 4 katika mafunzo ya PHP level 1 utajifunza aina za data mabazo php inakwenda kuzitumia.
Soma Zaidi...Haya ni mafunzo ya php na hili ni somo la tano. Katika somovhili utajifunza namna ya kutengeneza functions.
Soma Zaidi...Huu ni muendelezo wa mafunzo ya Database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la 10. katika somo hili tutakwenda kuendelea namna ya kupangilia muonekano wa data zako kwenye database.
Soma Zaidi...