Somo la 10 mafunzo ya php level 1. Katika somo hili utajifunza kuhusu condition statement.
SOMO LA 10
PHP CONDITION STATEMENTS
Hizi ni logic statement ambazo zitaangalia kukidhi kwa vifezo ndipo code ziweze kufanya kazi. Kwa mfano ikiwa asubuhi kompyuta itasalimia umeamkaje, na ikiwa mchana itasema umeshindaje na ikiwa jioni utasema habari za jioni. Hivyo hapa kwanz kompyuta itabidi iangalie saa, kama saa itasoma ni asubuhi ndipo code zinazotaka iseme habari za asubuhi zitafanya kazi.
Kwa pamoja code hivi tunaziita condition statement, yaani kwanza huangalia vogezo vinavyotakiwa kama vimetimia ndipo huleta matokeo na kama havijatimia huenda hatuwa nyingine. Statatement hizi kwenye php zipo nne ambazo ni:-
1.If statement
2.If..else statement
3.If..elseif..else statement
4.Switch statement
1.If statement
Hii itaangalia condition moja (yaani kigezo kimoja) kanuni yake ni
If (condition) {
Code
}
Condition ni kigezo ambavyo unataka kiangaliwe kabla ya code kufanya kazi. Kwa mfano tunataka mfunguaji wa ukurasa huu kama ni asubuhi ukrasa uandike habari za asubuhi. Kufanya hivi itabidi tuweke saa. Saa itakuwa inaangalia kama ni asubuhi ita peleka taarifa kuwa ni asubuhi kisha code ndipo hufanya kazi.
Jivyo tutatumia function ya kuonyesha time kama tulivyojifunza hapo nyuma. Ila hapa tutatumia masaa 24. na kwa masaa 24 asubuhi ni kunania 5 mpaka 11. itabidi tuwe na variable ya kuwakikilisha time. Hivyo tutatumia t kama variable na function ya time kwa ajili ya kusoma muda.
Mfano:
<?php
$t = date("H");
if ($t < ="11") {
echo "habari ya asubuhi";
}
?>
Hii itaangalia kama masaa ni sawa na 11 ama chini ya 11, code zetu zitasoma habari za asubuhi. Saba hapa kuna shida moja, ni kuwa kama itakuwa sio asubuhi hakuna chichite kitakachisoma. Hivyo basi tunatakiwa pia kusema na endapo sio asubuhi inatakiwa iseme nini.
2.If.. else
Ili kufanya hivyo ndipo tunahtaji else statement. Hivyo hapa tutatumia if else statement. Yaani kama itakuwa ni chini ya saa 11 iseme habari za asubhuhi laikini kama sio muda huo iseme mambo vipi. Agalia mfano wa if else statement hapo chini.
Mfano
<?php
$t = date("H");
if ($t < "11") {
echo "habari ya asubuhi";
}else {
echo "mabo vipi";
}
?>
Hapa kama haitakuwa asubuhi itasema mambo vipi
Kanuni ni kama ile ya mwanza
If (condition) {
Code} else{
Code}
Sasa kwa kuwa siku imegawanyika kama asubuhi, mchana na jioni sasa tunataka ikiwa ni asubuhi iseme, habari za asubuhi na ikiwa ni mchana iseme habari za mchana na ikiwa ni usiku iseme habari za usiku.
3.If..elseif…
Kufanya hivi tutahitaji kutumia if elseif else statement. Hapa tutaendelea kutumia function ya kuonyesha time.kwa masaa 25 ambayo ni date(H). kwa masaa 24 asubuhi ni chini ya 11, mchana ni kunzia 12, jioni ni 16 na usiku 19 na kuendelea.
Kanuni ya kutumia if elseif else
If (condition){
Code} elseif (condition) {
Code} else {code
}
Chekki mfano hapoc hini
<?php
$t = date("H");
if ($t < "11") {
echo "habari ya asubuhi";
}elseif ($t >= "19") {
echo "habari za usiku";
} else{
echo "habari za mchana";
}
?>
Unaweza kutumia elseif kadiri ya unavyo taka. Kwa mfano mfano hapo chini nitatumia elseif zaidi ili kuboresha code zetu. Sasa nataka isalimie asubuhi, mchana, jioni, na usiku, na alfajiri.
4.Switch satatemnet
Hii hutumika kana una condition zaidi ya tatu. Switch case ipo fasta kuliko elseif sataament. Ijapokuwa kazi ambazo switch case inafanya pia unaweza kuzifanya kwa elseif ila ufanisi wake hautakuwa mzuri ukilinganisha n switch case.
Kanuni
switch (x) {
case label1:
code ;
break;
case label2:
code;
break;
case label3:
code;
break;
default:
code;
}
Kwanza unatakiwa uwe na thamani ambayo inatakiwa ifikiwe ili code ziweze kufanya kazi. Kama inavyoonekana hapo juu. Utaanza na neno switch kisha inafata thamani inayotakiwa kufikiwa na hii mara nyingi huwa ni variable. Kisha thamani hii ndipo hulinganishwa kwenye code ili kama itafikiwa code ziweze kufanya jazi.
Kila statement au code block hutenganishwa na neno break. Hii hufanya program yako kuishia pale ambapo thamani itafikiwa na kutoa matokeo. Kisha mwisho utaweka default statement. Hii ni statement ambayo endapo thamani haitafikiwa kwa case zote za kwenye cose basi itumike hii thamani ya kwnye default.
Mfano
<?php
$kiti = "mbao" switch ($kiti) {
case "mbao":
echo "kiti chako ni cha mbao";
break;
case "bati":
echo "kiti chako ni cha bati";
break;
case "chuma":
echo "kiti chako ni cha chuma";
break;
default:
echo "kiti chacho sio cha chuma, bati wala mbao";
}
?>
Katika mfano huu kwanzo code zitaangalia kama kiti ni cha aina gani, kama ni cha mbao condition ya kwanza itakuwa imefikiwa. Hivyoo itafanyia kazi code za kwanza na kupata matokep kiti chako ni cha mbao.
Mfano huu unaweza usielewe utafanya vipi kazi. Chukulia mfano, una website na unataka watu kulingana na umri wao kila mmoja aone maudhui fulani kulingna na umri wake. Hivyo unaweza tumia code hizi, kwamba ikiwa umri ni miaka 18, atapelekwa kwenye ukurasa fulani, ikiwa ni 60 hivyo hivyo na zaidi.
Mafunzo haya yanakujia kwa ihsani ya bongoclass
Web: www.bongoclass.com
Email:mafunzo@bongoclass.com
Phone: 0774069753 unaweza kunicheki wasap kwa link hii https://wa.me/message/7CTQP5BSWBR5I1
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowHuu ni muendelezo wa mafunzo ya database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la 6. Katika somo hili tutakwenda kuona jinsi ya kutengeneza table kwa kutumia MySQL na kwa kutuma SQL.
Soma Zaidi...Katika somo hilivutajifunza namna ya kutumia HTML form. Namna ya kuookea taarifa kutoka kwenye madodoso ya html form.
Soma Zaidi...Katika somo hili la 8 mafunzo ya html level 8 utajifunza jinsi ya kuhost project ya html na kuwa live, watu wakaipitia na kusoma maudhui yake.
Soma Zaidi...Hili ni somo la Tatu katika mfululizo wetu wa mafunzo ya HTML kwa basic level kwa wanaoanza kujifunza. Hapa tutakwenda kujifunza tag za html ambazo huwa zinatumika katika uandishi.
Soma Zaidi...Huu ni muendelezowa mafunzo ya database kwa kutumia MySQl na hili ni somo la 12. katika somo hili tutajifunza namna ya kufanya mahesabu kwa kutumia SQl katika database
Soma Zaidi...somo hili la 4 katika mafunzo ya PHP level 1 utajifunza aina za data mabazo php inakwenda kuzitumia.
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya database kwa kutumia MySQL na hili ni somo la nne katika mlolongo wa masomo haya. Katika somo hili utajifuza jinsi ya kubadili jina la database na kufuta database. Pia tutajifunza kutumia SQL kufanya hayo.
Soma Zaidi...Katika somo hili la php level 1 somo la 6 utajifunza namna ya kutumia tarehe yaani function date() kwenye PHP
Soma Zaidi...huu ni muendelezo wa mafunzo ya Database klwa kutumia MySQL na hili ni somo la 11. katika somo hili tutaendelea kujifunza mpangilio wa muonekano wa data kwenye database.
Soma Zaidi...Haya ni mafunzo ya php na hili ni somo la tano. Katika somovhili utajifunza namna ya kutengeneza functions.
Soma Zaidi...