Maana ya Elimu katika uislamu na nani aliye elimika?
Hili ni swali kutoka katika maarifa ya elimu ya dini ya kiislamu kidato cha kwanza (EDK FORM 1)
Swali: Nini maana ya Elimu na ni nani aliye elimika?
Jibu:
- Katika Uislamu Elimu maana yake ni:
- Ujuzi unaoambatana na utendaji au
- Mabadiliko ya tabia yanayoambatana (yanayotokana) na ujuzi au
- Ujuzi unaomuwezesha mtu kufanya (kutenda) jambo kwa ufanisi au inavyotakikana.
- Nani aliyeelimika? (Sifa za mtu aliyeelimika).
- Aliyeelimika ni yule mwenye ujuzi unaomuwezesha kutenda (kufanya) jambo kwa ufanisi na inavyotakikana.
- Mjuzi wa Qur’an na Sunnah ni yule anayeendesha kila kipengele cha maisha yake ya binafsi na kijamii kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah.
- Watakapo fanana kimwenendo na kitabia wale wenye elimu na wasiokuwa na elimu, basi wenye elimu watakuwa hawajaelimika ila wamesoma tu.
“……………Sema, Je! Wanaweza kuwa sawa wale wanaojua na wale wasiojua? Wanaotanabahi ni wale wenye akili tu………”(39:9).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Madrasa kiganjani π2 Bongolite - Game zone - Play free game π3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π4 ai web app π5 kitabu cha Simulizi π6 Simulizi za Hadithi Audio
π1 Madrasa kiganjani π2 Bongolite - Game zone - Play free game π3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π4 ai web app π5 kitabu cha Simulizi π6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Makemeo juu ya Zinaa na Hukumu kwa Wazinifu.
Tendo la zinaa ni tendo chafu kimaadili na Allah (s.
Soma Zaidi...Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na sababu zifuatazo
Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na nini? (EDK form 1: mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na sababu zifuatazo)
Soma Zaidi...Sifa za waumini zilizotajwa katika surat As-Sajida
Nao husema (kwa maskhara): "Je, tutakapopotea katika ardhi, (tukageuka mchanga) ndio tutarudishwa katika umbo jipya?
Soma Zaidi...