Maswali juu ya dini anayostahiki kufuata mwanadamu

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 1.

  1. (a)  Nini maana ya Dini.

(b) Dini sahihi ni lazima imfikishe mwanaadamu katika kufikia lengo la kuumbwa kwake. Ainisha sifa za dini sahihi inayostahiki kufuatwa na mwanaadamu.

  1. Mwanaadamu pamoja na ujuzi alionao, hawezi kujiundia mfumo (dini) sahihi wa maisha. Thibitisha kauli hii kwa hoja tano tu.

 

  1. (a)  Bainisha nyezo kuu anazozitumia mwanaadamu katika kujielimisha na madhifu yake.

(b)  Nini maana ya kusimamisha Uislamu katika jamii?

  1. Mwanaadamu pamoja na kudai kutofuata dini yeyote, bado hawezi kuepukana nayo. Eleza ni kwanini dini kwa mwanaadamu ni jambo lisilobudi.

 

  1. Jihad ni jambo la muhimu katika kuupatia Uislamu heshima yake ndani ya jamii. Thibitisha umuhimu wa jihad katika kuusimamisha Uislamu.

 

  1. Ainisha matunda yatakayopatikana kwa Uislamu kusimama na kuongoza maisha ya jamii.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Tawhid Main: Dini File: Download PDF Views 1809

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Kwa nini Elimu imepewa nafasi ya kwanza katika Uislamu?

Kwa nini katika uislamu elimu imepewa nafasi ya kwanza ( EDK form 1 Dahana ya elimu)

Soma Zaidi...
Taqwa (Hofu ya kumuogopa Allah) ni popote ulipo

عَنْ أَبِي ذَرٍّ جُنْدَبِ بْنِ جُنَادَةَ، وَأَبِي عَبْدِ الرَّحْمَنِ مُعَاذِ بْنِ جَبَلٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا، عَنْ رَسُولِ اللَ...

Soma Zaidi...
jamii muongozo

Haja ya Mwongozo kutoka kwa Allah (s.

Soma Zaidi...
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu

Faradhi kwa maiti ya muislamu (edk form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Kutowatii Wazazi katika kumuasi Allah (s.w)

"Na (wazazi wako) wakikushurutisha kunishirikisha na (yale) ambayo huna ilimu nayo, usiwatii; lakini kaa nao kwa wema hapa duniani (Maadamu ni wazee wako, ila usiwafuate tu mwenendo wao mbaya); Shika mwenendo wa wale wanaoelekea kwangu, kisha marejeo yenu

Soma Zaidi...
Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu

Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu Ni upi? (EDK form 1: mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu)

Soma Zaidi...