Je ni ipi nafasi ya Elimukatika dini ya uislamu?
Swali:
Nivipi nafasi ya elikuvkatika uislamu?
Jibu:
1. Elimu ndio takrima ya kwanza aliyopewa mwanaadamu na Mola wake kama nyenzo pekee itakayomuwezesha kumjua Mola wake na kumuabudu vilivyo.
“Na (Mwenyezi Mungu) akamfundisha Adam majina ya (fani za) vitu vyote” (2:31) na pia rejea (2:38).
2. Elimu ni amri ya kwanza kwa mwanaadamu kuitafuta kama alivyoamrishwa kusoma Mtume (s.a.w).
“Soma kwa jina la Mola wako aliyeumba……..” (96:1-5).
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 1189
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Madrasa kiganjani
👉4 Kitau cha Fiqh
Elimu ya mwingozo na elimu ya mazingira katika uislamu
Mahusiano kati ya elimu ya mwongizo na elimu ya mazingira katika uislamu. Soma Zaidi...
Kujiepusha na kufuata mambo kwa kibubusa
Waislamu wanakatazwa kufanya na kufuata mambo kwa kibubusa (kwa mkumbo) bila ya kuwa na ujuzi unaostahiki. Soma Zaidi...
Ushahidi juu ya kosa la Uzinifu
Ushahidi wa kuthibitisha kutendeka kwa kosa la uzinifu unapatikana kwa namna tatu zifuatzo: (i)Kushuhudia tendo hilo likifanyika kwa wakati mmoja watu wanne Mukalafu (Walio baleghe na wenye akili timamu), wakiwa ni Waislamu waadilifu. Soma Zaidi...
Shahada mbili
Kwenye mada hii tutajifunza shahada mbili,tafsiri ya shahada kstika maisha ya kila siku. Soma Zaidi...
Sifa za Wanafiki zilizotajwa katika surat Al-Munaafiqun
Wanapokujia wanafiki, husema: "Tunashuhudia ya kuwa kwa yakini wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Soma Zaidi...
Nafsi ya mwanaadamu
Soma Zaidi...
Mtazamo wa uislamu juu ya dini
Kwenye kipengele hichi tutajifunza mitazamo ya kikafiri juu ya dini. Soma Zaidi...
Upeo wa Elimu waliyokuwa nayo Mitume
Soma Zaidi...
Nguzo za Imani kwa mujibu wa mafunzo ya kiislami.
Makala hii inakwenda kukufundisha kuhusu nguzo sita za imani katika Uislamu. Soma Zaidi...
Sifa na majina ya siku ya mwisho siku ya kiyama
Soma Zaidi...