Kusimamisha swala za Sunnah
Nguzo za uislamu, kusimamisha swala za Sunnah (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)
Kusimamisha Swala za Sunnah.
- Umuhimu wa Kusimamisha Swala za Sunnah.
- Kusimamisha swala za Sunnah ni kumtii na kumuiga Mtume (s.a.w).
Rejea Qur’an (33:21) na (3:31).
- Hutupelekea kuwa Wacha-Mungu kwa njia nyepesi kupitia utii na kujikurubisha zaidi kwa Allah (s.w).
- Hutupelekea kufikia lengo la swala kwa kujitakasa na mambo machafu na mavu.
Rejea Qur’an (29:45).
- Swala za Sunnah pia hujaziliza mapungufu ya swala za faradhi ambazo hazikuswaliwa kikamilifu kutokana na udhaifu wa kibinaadamu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 web hosting 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 web hosting 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Faida na umuhimu wa ndoa katika jamii
Hapa utajifunza faida za ndoa katika Jamii na kwa wanadamu kiafya, kiroho, kiuchumi
Soma Zaidi...Haki za viumbe na mazingira
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Mda wa mwisho wa kula daku mwezi wa ramadhani
Post hii fupi itakwenda kukujulisha utaratibu wa kula daku.
Soma Zaidi...