Kusimamisha swala za Sunnah
Nguzo za uislamu, kusimamisha swala za Sunnah (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)
Kusimamisha Swala za Sunnah.
- Umuhimu wa Kusimamisha Swala za Sunnah.
- Kusimamisha swala za Sunnah ni kumtii na kumuiga Mtume (s.a.w).
Rejea Qur’an (33:21) na (3:31).
- Hutupelekea kuwa Wacha-Mungu kwa njia nyepesi kupitia utii na kujikurubisha zaidi kwa Allah (s.w).
- Hutupelekea kufikia lengo la swala kwa kujitakasa na mambo machafu na mavu.
Rejea Qur’an (29:45).
- Swala za Sunnah pia hujaziliza mapungufu ya swala za faradhi ambazo hazikuswaliwa kikamilifu kutokana na udhaifu wa kibinaadamu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 web hosting
👉1 ai web app 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Kusimamisha Swala na kuamrisha mema
Swala iliyosimamishwa vilivyo ndiyo nyenzo kuu ya kumtakasa Muislamu na kumpa sifa zinazomuwezesha kustahiki kufanya kazi takatifu ya kusimamisha Uislamu katika jamii.
Soma Zaidi...Hadhi na Haki za Mwanamke katika jamii mbalimbali hapo zamani
Utangulizi:Uislamu unamuelekeza mwanaadamu namna nzuri ya kuendesha maisha yake katika kila kipengele cha maisha akiwa binafsi, katika familia na katika jamii.
Soma Zaidi...Mafunzo ya swala
Jifunze namna ya kuswali, zijuwe aina za swala na ujifunze masharti ya swala, kwa nini swala hazijibiwi? nini kifanyike?
Soma Zaidi...