Kusimamisha swala za Sunnah
Nguzo za uislamu, kusimamisha swala za Sunnah (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)
Kusimamisha Swala za Sunnah.
- Umuhimu wa Kusimamisha Swala za Sunnah.
- Kusimamisha swala za Sunnah ni kumtii na kumuiga Mtume (s.a.w).
Rejea Qur’an (33:21) na (3:31).
- Hutupelekea kuwa Wacha-Mungu kwa njia nyepesi kupitia utii na kujikurubisha zaidi kwa Allah (s.w).
- Hutupelekea kufikia lengo la swala kwa kujitakasa na mambo machafu na mavu.
Rejea Qur’an (29:45).
- Swala za Sunnah pia hujaziliza mapungufu ya swala za faradhi ambazo hazikuswaliwa kikamilifu kutokana na udhaifu wa kibinaadamu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 web hosting 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitabu cha Afya
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 web hosting 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Nini maana ya funga na ni lipi lengo lake
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu lengo la funga na maana yake katika uislamu.
Soma Zaidi...Dhana ya mirathi na kurithi katika zama za ujahiliya
Mirathi katika jamii za kijahiliKatika jamii nyingi za kijahili kama vile jamii ya Waarabu kabla ya Mtume Muhammad (s.
Soma Zaidi...Yaliyo haramu kwa mwenye hadathi kubwa.
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu mambo ya haramu kwa mwenye hadathi kubwa
Soma Zaidi...