Yaliyoharamishwa kwa mwenye kuwa katika ihram
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Yaliyoharamishwa kwa mwenye kuwa katika Ihram.
- Kufanya jimai (tendo la ndoa), kubusu, kukumbatiana au kufanya ushawishi wowote wa kimapenzi kati ya mume na mke.
- Kusema au kutenda mambo machafu na maovu.
Rejea Qur’an (2:197).
- Kunyoa nywele, kukata kucha, au kupunguza sehemu yeyote ya mwili isipokuwa kwa udhuru, kama matibabu, n.k.
- Kuoa, kuolewa, kutoa posa au kufanya mipango ya ndoa.
- Kujipaka manukato au kuvaa nguo zenye kuvutia.
- Kuvaa nguo iliyoshonwa na kufunika kichwa kwa wanaume.
- Kufunika uso na viganja vya mikono kwa wanawake kwa kuvaa gloves.
- Kuvaa viatu vya kufunika miguu na kuvaa soksi.
- Kuwinda au kusaidia kuwinda hata kwa kuonyesha mnyama anayewindwa.
- Kula nyama iliyowindwa au iliyopatikana kwa msaada wa mtu aliyekuwa katika Ihram.
- Kula mayai ya ndege waliopatikana kwa kuwindwa
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Mafungu ya urithi katika uislamu
Hspa utajifunza viwango maalumu vya kutithi mirathi ys kiislamu.
Soma Zaidi...