Yaliyoharamishwa kwa mwenye kuwa katika ihram
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Yaliyoharamishwa kwa mwenye kuwa katika Ihram.
- Kufanya jimai (tendo la ndoa), kubusu, kukumbatiana au kufanya ushawishi wowote wa kimapenzi kati ya mume na mke.
- Kusema au kutenda mambo machafu na maovu.
Rejea Qur’an (2:197).
- Kunyoa nywele, kukata kucha, au kupunguza sehemu yeyote ya mwili isipokuwa kwa udhuru, kama matibabu, n.k.
- Kuoa, kuolewa, kutoa posa au kufanya mipango ya ndoa.
- Kujipaka manukato au kuvaa nguo zenye kuvutia.
- Kuvaa nguo iliyoshonwa na kufunika kichwa kwa wanaume.
- Kufunika uso na viganja vya mikono kwa wanawake kwa kuvaa gloves.
- Kuvaa viatu vya kufunika miguu na kuvaa soksi.
- Kuwinda au kusaidia kuwinda hata kwa kuonyesha mnyama anayewindwa.
- Kula nyama iliyowindwa au iliyopatikana kwa msaada wa mtu aliyekuwa katika Ihram.
- Kula mayai ya ndege waliopatikana kwa kuwindwa
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 web hosting 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Kitabu cha Afya
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 web hosting 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Namna ya kuswali hatuwa kwa hatuwq
Post hii itakufundisha jinsi ya kuswali hatuwa kwa hatuwa.
Soma Zaidi...Nini maana ya kusimamisha swala
Post hii inakwenda kukufundisha maana ya kusimamisha swala kama inavyotumika kisheria.
Soma Zaidi...Swala ya jamaa.
Kipengele hiki tutajifunza kusimamisha swala ya jamaa,swala za ijumaa.
Soma Zaidi...