Yaliyoharamishwa kwa mwenye kuwa katika ihram
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Yaliyoharamishwa kwa mwenye kuwa katika Ihram.
- Kufanya jimai (tendo la ndoa), kubusu, kukumbatiana au kufanya ushawishi wowote wa kimapenzi kati ya mume na mke.
- Kusema au kutenda mambo machafu na maovu.
Rejea Qur’an (2:197).
- Kunyoa nywele, kukata kucha, au kupunguza sehemu yeyote ya mwili isipokuwa kwa udhuru, kama matibabu, n.k.
- Kuoa, kuolewa, kutoa posa au kufanya mipango ya ndoa.
- Kujipaka manukato au kuvaa nguo zenye kuvutia.
- Kuvaa nguo iliyoshonwa na kufunika kichwa kwa wanaume.
- Kufunika uso na viganja vya mikono kwa wanawake kwa kuvaa gloves.
- Kuvaa viatu vya kufunika miguu na kuvaa soksi.
- Kuwinda au kusaidia kuwinda hata kwa kuonyesha mnyama anayewindwa.
- Kula nyama iliyowindwa au iliyopatikana kwa msaada wa mtu aliyekuwa katika Ihram.
- Kula mayai ya ndege waliopatikana kwa kuwindwa
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 web hosting 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 web hosting 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Kujiepusha na ria na masimbulizi
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Tarstibu za kulipa swaumu ya Ramadhani
Hapa utajifunza namna ambayo utatakiwa kulipa funga ya Ramadhani kwa siku ambazo hukufunga
Soma Zaidi...Hii ndio hutuba ya ndoa ya kiislamu
Hapa utajifunza utaratibu wa hutuba ya ndoa ya kiislamu. Sharti za jutuba ya ndoa na jinsibya kuozesha
Soma Zaidi...Kwanini wengi wanaoswali hawafikii lengo la swala zao
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...