Yaliyoharamishwa kwa mwenye kuwa katika ihram
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Yaliyoharamishwa kwa mwenye kuwa katika Ihram.
- Kufanya jimai (tendo la ndoa), kubusu, kukumbatiana au kufanya ushawishi wowote wa kimapenzi kati ya mume na mke.
- Kusema au kutenda mambo machafu na maovu.
Rejea Qur’an (2:197).
- Kunyoa nywele, kukata kucha, au kupunguza sehemu yeyote ya mwili isipokuwa kwa udhuru, kama matibabu, n.k.
- Kuoa, kuolewa, kutoa posa au kufanya mipango ya ndoa.
- Kujipaka manukato au kuvaa nguo zenye kuvutia.
- Kuvaa nguo iliyoshonwa na kufunika kichwa kwa wanaume.
- Kufunika uso na viganja vya mikono kwa wanawake kwa kuvaa gloves.
- Kuvaa viatu vya kufunika miguu na kuvaa soksi.
- Kuwinda au kusaidia kuwinda hata kwa kuonyesha mnyama anayewindwa.
- Kula nyama iliyowindwa au iliyopatikana kwa msaada wa mtu aliyekuwa katika Ihram.
- Kula mayai ya ndege waliopatikana kwa kuwindwa
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 web hosting 👉6 kitabu cha Simulizi
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 web hosting 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Haki za binadamu kwa ujumla (basic human rights)
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Jinsi ya kuelekea qibla katika swala.
Je unadhani ni kwa nini waislamu wanaelekea kibla, na jinsi gani utaweza kukipata kibla.
Soma Zaidi...Hadathi ya kati na kati
Posti hiibinakwenda kukufundisha kuhusu hadathi ya kati na kati.
Soma Zaidi...msimamo wa uislamu juu ya kupanga uzazi na uzazi wa mpango
Msimamo wa Uislamu juu ya kudhibiti uzaziKama tulivyoona, msukumo wa kampeni ya kudhibiti kizazi, umetokana na mfumo mbaya wa kijamii na kiuchumi ulioundwa na wanadamu kutokana na matashi yao ya ubinafsi.
Soma Zaidi...