Fiqh.
Kipengele hichi tutajifunza chimbuko la fiqh na maana ya figh.
4.FIQH.
4.1.Chimbuko
- Maana ya Fiqh.
- Ni fani ya elimu ya Kiislamu inayohusiana na ufahamu juu ya kanuni na sheria (hukumu) mbali mbali za ibada.
Mapato (makundi) ya Fiqh.
- Fiqh ya Ibada Maalum – Swala, Zaka, Swaum, Hijja, Ndoa, Talaka, Mirath, n.k.
- Fiqh ya Muamalat – inahusiana na kanuni na sheria kuhusu mambo ya kibinafsi na kijamii; siasa, uchumi, utamaduni, n.k.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 web hosting 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 ai web app
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 web hosting 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Vipi funga yaani swaumu itapelekea uchamungu na kutekeleza lengo
Funga inavyomuandaa mtu kuwa mcha-Mungu.
Soma Zaidi...