Fiqh.
Kipengele hichi tutajifunza chimbuko la fiqh na maana ya figh.
4.FIQH.
4.1.Chimbuko
- Maana ya Fiqh.
- Ni fani ya elimu ya Kiislamu inayohusiana na ufahamu juu ya kanuni na sheria (hukumu) mbali mbali za ibada.
Mapato (makundi) ya Fiqh.
- Fiqh ya Ibada Maalum – Swala, Zaka, Swaum, Hijja, Ndoa, Talaka, Mirath, n.k.
- Fiqh ya Muamalat – inahusiana na kanuni na sheria kuhusu mambo ya kibinafsi na kijamii; siasa, uchumi, utamaduni, n.k.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 ai web app 👉6 Madrasa kiganjani
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 ai web app 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Masharti ya utoaji wa zakat na sadaqat
Nguzo za uislamu, masharti ya utoaji wa zakat na sadaqat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Taasisi za Kifedha Katika Mfumo wa Uchumi wa Kiislamu
- Ni taasisi za kifedha zinazohusika na kuhifadhi akiba na mali za watu zenye thamani kubwa kama dhahabu, n.
Soma Zaidi...Maana ya Funga ya ramadhani kisheria na Aina za funga
Amesema mtume (s.a.w) kuwa Allah (s.w) amesema: kila amali ya mwanaadamu ni kwa ajili yake isipokuwa funga.
Soma Zaidi...Kusimamisha swala za Sunnah
Nguzo za uislamu, kusimamisha swala za Sunnah (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...