picha

Fiqh.

Kipengele hichi tutajifunza chimbuko la fiqh na maana ya figh.

 

                       4.FIQH.

4.1.Chimbuko

-     Ni fani ya elimu ya Kiislamu inayohusiana na ufahamu juu ya kanuni na sheria (hukumu) mbali mbali za ibada.

 

Mapato (makundi) ya Fiqh.

  1. Fiqh ya Ibada Maalum – Swala, Zaka, Swaum, Hijja, Ndoa, Talaka, Mirath, n.k.
  2. Fiqh ya Muamalat – inahusiana na kanuni na sheria kuhusu mambo ya kibinafsi na kijamii; siasa, uchumi, utamaduni, n.k.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 5053

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 web hosting     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Watu wanaolazimika kufunga mwezi wa Ramadhani

Hapa utajifunza watu ambao wanalazimika kufunga mwezi wa Ramadhani.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuelekea qibla katika swala.

Je unadhani ni kwa nini waislamu wanaelekea kibla, na jinsi gani utaweza kukipata kibla.

Soma Zaidi...