Nguzo za uislamu:Shahada

Nguzo za uislamu:Shahada

Nguzo za uislamu: Shahada (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

NGUZO ZA UISLAMU

    4.1 Shahada.

    -    Shahada ya kwanza.

                Nashuhudia kuwa hapana Mola ila Allah”

 

 

-    Shahada ya Pili.

            “Nashuhudia kuwa Muhammad ni Mjumbe wa Allah”

 

-     Kumtii Mtume (s.a.w) kwa kufuata aliyoagiza na kuacha aliyokataza.

-     Kumuiga Mtume (s.a.w) katika mwenendo na tabia yake.

-     Kumfanya Mtume (s.a.w) kuwa hakimu wa mambo yetu yote.

-     Kuliendea lengo la kuletwa kwake la kuusimamisha Uislamu katika

       jamii.  

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu Rajabu
Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views: 2074

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 ai web app     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Aina au migawanyo mbalimbali ya haki katika uislamu

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Namna ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Sunnah za udhu

Posti hii inakwenda kukufundisha kuhusu sunah za udhu

Soma Zaidi...
Umuhimu na nafasi za hijjah katika uislamu

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
benki za kiislamu na njia zake za kuingiza kipato

Benki za KiislamuBenki za Kiislamu ambazo hutoa huduma kama benki nyingine zinaendeshwa katika msingi wa biashara na sio ule wa riba.

Soma Zaidi...