Kina Cha uovu wa shirk
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Kina cha Uovu wa Shirk.
- Ni dhulma kubwa kuliko zote na ndio chanzo cha matatizo yote ulimwenguni.
Rejea Qur’an (31:13) na (10:35-36).
- Ni dhambi kubwa kuliko zote isiyosameheka ila apende Mwenyezi Mungu (s.w) na kutubia kikweli kweli kabla ya kufa.
- Ni dhambi inayofuta mema yote ya mtu aliyoyafanya kabla ya kushirikisha.
Rejea Qur’an (4:48), (4:116) na (39:65).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
π1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π2 Simulizi za Hadithi Audio π3 Kitau cha Fiqh π4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π5 Bongolite - Game zone - Play free game π6 ai web app
π1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π2 Simulizi za Hadithi Audio π3 Kitau cha Fiqh π4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π5 Bongolite - Game zone - Play free game π6 ai web app
Post zinazofanana:
Tofauti kati ya Quran na vitabu vingine vya mwenyezi Mungu
Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Mafundisho ya Mitume
Mafundisho ya mitume ni eneo lingine linalo thibitisha kuwepo Allah (s.
Soma Zaidi...Kujiepusha na kukaribia zinaa
Si zinaa tu iliyoharamishwa bali hata yale yote yanayotengeneza mazingira na kuchochea kufanyika kwa zinaa nayo pia yameharamishwa.
Soma Zaidi...