Lengo la ibada maalumu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
3.2 Lengo la Ibada Maalum.
- Ibada maalumu kama vile; swala, funga, zaka, hija, na sunnah zake ni kumuandaa mja
kuweza kumuabudu na kumtumikia Mwenyezi Mungu (s.w) ipasavyo kwa kila
kipengele cha maisha yake ya kila siku kibinafsi na kijamii.
- Ibada maalumu zimekusudiwa kumuandaa mja kufikia lengo la kuumbwa kwake.
Rejea Quran (51:56), (2:30).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
"Hakika wanaoamini kweli ni wale ambao anapotajwa Allah nyoyo zao hujaa khofu; na wanaposomewa aya zake huwazidishia imani na wanamtegemea Mola wao tu basi.
Soma Zaidi...Ni zipo njia wanazotumia Allah katika kuwasiliana na kuwafundisha wanadamu? (EDK form 1: Dhana ya elimu katika Uislamu).
Soma Zaidi...Na waliposema wanafiki na wale wenye maradhi nyoyoni mwao, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake hawakutuahidi ila udanganyifu tu.
Soma Zaidi...Nao husema (kwa maskhara): "Je, tutakapopotea katika ardhi, (tukageuka mchanga) ndio tutarudishwa katika umbo jipya?
Soma Zaidi...Mtazamo wa uislamu juu ya ibada (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Waumini wa kweli wa Mitume wa Allah (s.
Soma Zaidi...Katika Qur'an tunakumbushwa neema mbali mbali walizotunukiwa Bani Israil (Mayahudi) na Mola wao ili kuwawezesha kusimamisha Ufalme wa Allah(s.
Soma Zaidi...Nguzo za imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...