Lengo la ibada maalumu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
3.2 Lengo la Ibada Maalum.
- Ibada maalumu kama vile; swala, funga, zaka, hija, na sunnah zake ni kumuandaa mja
kuweza kumuabudu na kumtumikia Mwenyezi Mungu (s.w) ipasavyo kwa kila
kipengele cha maisha yake ya kila siku kibinafsi na kijamii.
- Ibada maalumu zimekusudiwa kumuandaa mja kufikia lengo la kuumbwa kwake.
Rejea Quran (51:56), (2:30).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu Ni upi? (EDK form 1: mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu)
Soma Zaidi...Kwenye kipengele hiki tutajifunza elimu yenye manufaa kwenye jamii na pia tutajifunza sifa za elimu yenye manufaa.
Soma Zaidi...عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم قَالَ: "مَنْ كَانَ يُؤْمِنُ بِاَللَّهِ وَالْيَوْمِ...
Soma Zaidi...Yale tunayoamrishwa kushikamana nayo ni haya yafuatayo: (i)Kumuabudu Allah (s.
Soma Zaidi...