Lengo la ibada maalumu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
3.2 Lengo la Ibada Maalum.
- Ibada maalumu kama vile; swala, funga, zaka, hija, na sunnah zake ni kumuandaa mja
kuweza kumuabudu na kumtumikia Mwenyezi Mungu (s.w) ipasavyo kwa kila
kipengele cha maisha yake ya kila siku kibinafsi na kijamii.
- Ibada maalumu zimekusudiwa kumuandaa mja kufikia lengo la kuumbwa kwake.
Rejea Quran (51:56), (2:30).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Elimu imepewa nafasi kubwa sana katika uislamu.
Soma Zaidi...Somo Hili linaeleza kuhusu mtazamo wa uislamu juu ya dini (EDK form2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na nini? (EDK form 1: mgawanyo wa elimu usiokubalika katika uislamu unasababishwa na sababu zifuatazo)
Soma Zaidi...