picha

Lengo la ibada maalumu

Lengo la ibada maalumu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

3.2 Lengo la Ibada Maalum.

      - Ibada maalumu kama vile; swala, funga, zaka, hija, na sunnah zake ni kumuandaa mja 

         kuweza kumuabudu na kumtumikia Mwenyezi Mungu (s.w) ipasavyo kwa kila

         kipengele cha maisha yake ya kila siku kibinafsi na kijamii.  

 

     -  Ibada maalumu zimekusudiwa kumuandaa mja kufikia lengo la kuumbwa kwake.

         Rejea Quran (51:56), (2:30).

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Tawhid Main: Post File: Download PDF Views 2854

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Maamrisho ya kushikamana nayo

Yale tunayoamrishwa kushikamana nayo ni haya yafuatayo: (i)Kumuabudu Allah (s.

Soma Zaidi...
Mgawanyo wa Elimu Usiokubalika katika uislamu.

Kipengele hichi kinahusu mgawanyiko wa elimu usiokubalika katika uislamu.sababu za mgawanyiko wa elimu udio sahihi katika uislamu.

Soma Zaidi...