Lengo la ibada maalumu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
3.2 Lengo la Ibada Maalum.
- Ibada maalumu kama vile; swala, funga, zaka, hija, na sunnah zake ni kumuandaa mja
kuweza kumuabudu na kumtumikia Mwenyezi Mungu (s.w) ipasavyo kwa kila
kipengele cha maisha yake ya kila siku kibinafsi na kijamii.
- Ibada maalumu zimekusudiwa kumuandaa mja kufikia lengo la kuumbwa kwake.
Rejea Quran (51:56), (2:30).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Kwa nini katika uislamu elimu imepewa nafasi ya kwanza ( EDK form 1 Dahana ya elimu)
Soma Zaidi...Ni lipi lengo kuu la Elimu katika uislamu (Edk form 1 Dhanaya Elimu)
Soma Zaidi...βNa wasiape wale wakarimu na wenye wasaa miongoni mwenu, kujizuia kuwasaidia jamaa zao, maskini na wale waliohama kwa ajili ya Dini ya Allah; na wasamehe na waachilie mbali (wapuuze yaliyopita).
Soma Zaidi...