Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIKAZWA NA MISULI
Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi. Wakati mwingine misuli inaweza kukaza ukiwa umelala. Kama una tatizo hili hakikisha unakunywa maji ya kutosha muda wowote. Inaweza ikawa hatari zaidi kama misuli imekaza akiwa anaogelea, hapa anaweza kushindwa kuogelea na hatimaye kupoteza maisha.
Kukaza kwa misuli sio tatizo kubwa sana la kuathiri afya ya mtu ila linaweza kukuletea maumivu ya muda na baadaye kuondoka. Misuli inaweza kuachia yenyewe ama bada ya huduma ya kwanza. Mtu anaweza kujipa huduma ya kwanza mwenyewe ama kufanyiwa na mtu aliyepo karibu. Huduma ya kwanza kwa aliyebanwa na misuli ni kama:-
1.Mlaze chini ama miweke chini anyooshe miguu yake
2.Anza kuminyamninya kwa utaratibu misuli katika sehemu ulippokaza
3.Jribu kukunya na kukunjua kiungo husika kw autaratibu
4.Chua kwa utaratibu na maji ya moto ama tumia kitambaa kilichochovywa kwenye maji ya moto
5.Ama tumia barabu uliweke kwenye msuli uliokaza.
6.Baada ya muda hali hitakuwa sawa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi Aina mbalimbali za vidonda kwenye mwili wa binadamu, ni vidonda ambavyo utokea kwenye mwili wa binadamu kwa Aina tofauti.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa makundi manne ya damu na jinsi yanavyotumika, Ni magroup manne ya damu ambayo husaidia kuongeza damu kwa mtu ambaye amepungukiwa damu
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Unapokuwa na kizunguzungu unashindwa kuudhibiti mwili wako, unaweza kuanguka kabisa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu njia mbalimbali ambazo utumika kupitisha chanjo, njia hizo utegemea na kazi ya chanjo kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia vijana wakati wa kubarehe, ni njia za kuhakikisha kuwa vijana wanakuwa na mwelekeo ,
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa pua kama mojawapo ya mlango wa fahamu.pua ni mlango wa fahamu ambao uhusika na kupumua.
Soma Zaidi...