MIMI NAUMWA NA TUMBO CHINI YA KITOVU UPANDE WA KULIA, NINAPOTOK KUSHIRIKI TENDO LA NDOA NDONAPATA MAUMIVU ZAID PIA NAWASHWA SEHEMU ZA SIRI ITAKUWA SHIDA NI NIN?


image


Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa yanaweza kuwa ni dalili ya maradhi fulani, ama shida kwenye mfumo w uzazi. PID na UTI hutuhumiwa kuwa ni katika sababu hizo. Ila zipo nyingine nyingi tu. Kama ina hali hii vyema ukafika kituo cha afya


Swali

✍️Habar, samahani Mimi naumwa na tumbo chini ya kitovu upande wa kulia, ninapotok kushiriki tendo la ndoa ndonapata maumivu zaid pia nawashwa sehemu za siri itakuwa shida ni nin?, Asante jinsia ni mwanamke. 

 

✍️Wiki lakn katika hiyo wiki kuna muda nasikia maumivu nachini ya kitovu pia. 

 

✍️Mwanzoni nilihisi labda n mabadiliko tu ya mwili labda kwa sababu ndonimeaza kushiriki tendo la ndoa Toka nizaliwe. 

 

Majibu: 

👉Huwenda unasumbuliwa na PID ama UTI.  Vyema ukafika kituo cha afya kwa matibabu zaidi pamoja na vipimo. 

 

👉Pia upo uwezekano una fangasi ama infection sehemu za siri,  ndio maana unahisi kuwashwa. 



Sponsored Posts


  👉    1 Maktaba ya vitabu       👉    2 Magonjwa na afya       👉    3 Mafunzo ya php       👉    4 Mafunzo ya html kwa kiswahili       👉    5 Hadiythi za alif lela u lela       👉    6 Jifunze fiqh    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Madhara ya mwili kushindwa kutengeneza projestron ya kutosha
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo mtu anaweza kupata ikiwa mwili utaeweza kutengeneza progesterone ya kutosha. Soma Zaidi...

image Dalili za ongezeko la homoni ya estrogen
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa homoni ya estrogen imeongezeka, hizi dalili zikitokea mama anapaswa kuwahi hospital ili kuweza kupata matibabu au ushauri zaidi. Soma Zaidi...

image Kazi ya homoni ya testosterone
Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote. Soma Zaidi...

image Dalili za uvimbe kwenye kizazi
Posti hii inahusu zaidi Dalili za uvimbe kwenye kizazi,hizi ni Dalili ambazo ujitokeza kwa akina mama ambao wana uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo endapo mama ameona Dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali mara moja kwa uangalizi zaidi. Soma Zaidi...

image Fahamu mapacha wanavyounganishwa.
Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa vijusi viwili vitakua kutoka kwa kiinitete hiki, wataendelea kushikamana mara nyingi kwenye kifua, fupanyonga au matako. Mapacha walioungana wanaweza pia kushiriki kiungo kimoja au zaidi za ndani. Mapacha wengi walioungana huzaliwa wakiwa wamekufa au hufariki muda mfupi baada ya kuzaliwa.Mapacha wengine walio hai walioungana wanaweza kutenganishwa kwa upasuaji.Mafanikio ya upasuaji wa kuwatenganisha mapacha walioungana hutegemea mahali pacha hao wameunganishwa na wangapi na viungo gani vinashirikiwa, pamoja na uzoefu. na ujuzi wa timu ya upasuaji. Soma Zaidi...

image Endapo nina dalili za mimba na nikipima sina mimba, je, tatizo ni nini?
dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba. Soma Zaidi...

image UUME KUWASHA
Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa kupata magonjwa kwa haraka Kama vile phimosis, paraphimosis, Epididymitis na mengineyo mengi .', ' Soma Zaidi...

image Mm tumbo linaniuma mara kwa mara na linakua kama linages alaf kichwa kinauma mara kwa mara na nakosa choo wakati mwingine na kiuno kinauma je?inawezakua n ujauzito? Maana nilshirki tendo la ndoa siku ya tano baada ya kutoka hedhi
Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito. Soma Zaidi...

image Dalili za mimba kuanzia siku 7 Hadi 14
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku ya 7 Hadi ya 14 Soma Zaidi...

image Tatizo la kutokwa na utelezi wenye damu baada ya hedhi
Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali za kutokwa na damu baada ya hedhi hili ni tatizo ambalo uwapata wanawake wengi pamoja na akina Mama kwa sababu ya kutokwa na damu yenye utelezi baada ya hedhi. Soma Zaidi...