picha

JAVASCRIPT - somo la 16: Jinsi ya kutumia html form kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form.

Kama tulivyo jifunza kwenye somo lililotangulia. Tunaweza kupata value ya data zilizomo kwenye form kwa kutumia .value. Tofauti na tulivyojifunza hapa itatubidi tuunganishe form id na input type id kisha ndipo tutumie value. 

 

Umuhimu wa somo hili ni kuja kukusaidia katika kuthibitisha taarifa.  Tutalifanyia kazi sana somobhili wakati wa kujifunza condition statement. 



 

Tutakwenda hatuwa kwa hatuwa ili tuweze kufikia malengo ya somo yaweze kufikiwa. 

 

  1. Kupata taarifa kuhusu html form

Taarifa ambazo tunakwenda kuziangalia kwenue html form ni pamoja na 

  1. Form id
  2. Form method
  3. Form actiom

Hizi zotebkwa pamoja zinaitwa form attribute. Rejea kwenye mafunzo yetu ya html level 2.

 

  1. Kupata form ID ni kama ambavyo tumeona huko awali kwenye somo lililotangulia. Kwanza tutaandika html form. Kumbuka form yetu inakuwa na attribute hizobzilizotajwa hapo juu. 

 

<title>User input</title>

<form id="form" method="post" action="processor.php">

  <input id="data" name="name"  value="" >

  <input type="button" onclick="myFnc()" value="check">

</form>

 

Kisha tutatengeneza paragraph ya html ambayo itakwenda ku display tada zetu. Kumbuka kuipa id hiyo paragraph. Nitakwenda kuipa id ya myP

<p id="myP"></p>

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-20 Topic: JavaScript Main: ICT File: Download PDF Views 1034

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

JAVASCRIPT - somo la 18: Jinsi ya kutumia switch case kwenye javascript

Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 5: Jinsi ya kupangilia maandishi wakati wa ku output kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kupangilia muonekano wa maandishi (text) wakati wa ku out put matokeo ya code

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 22: Jinsi ya ku set time na tarehe

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu ku set time. Yaani tutaweka muda ambao code zinatakiwa ndio zilete matokeo.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 9: Jinsi ya kuandika function kwenye javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 17: condition statement za if else, else if kwenye javascript

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu condition statemant. Darasa hili ni moja katika madarasa muhimu programming. Katika somo hili tutajifunza kwa vitendo zaidi. Tutatumia mifano ya somo lililo tangulia.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 23: Jinsi ya kutengeneza calculator yaani kikokotoo cha hesabu kwa kutumia javascript

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kutumia javascript kutengeneza kikokotoo cha hesabu yaani calculator

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 21: Jinsi ya kutumia while loop na do while loop

Katika somo hili tutakwenda kujifunza khusu while loop na do while loop.

Soma Zaidi...
Game 1: Jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawili kwa kutumia html, css na javascript

Katika post hii utakwenda kujifundisha jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawii kwa utumia html, css na javascript

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 20 Jinsi ya kutumia foOfloop kwenye javascript

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia forOfLoop. Hii ni aina ya loop ambayo yenyewe inahusisha item zote kwenye array.

Soma Zaidi...
JAVASCRIPT - somo la 11: function maalumu zinazotumika kwenye string yaani string method

Katika somo hili utakwenda kujifunza baadhi ya function maaumu zinazotumika kwenye string yaani string method.

Soma Zaidi...