Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku dili na html form kwenye javascript. Javascript inaweza kufanya mengi kwenye html form.
Kama tulivyo jifunza kwenye somo lililotangulia. Tunaweza kupata value ya data zilizomo kwenye form kwa kutumia .value. Tofauti na tulivyojifunza hapa itatubidi tuunganishe form id na input type id kisha ndipo tutumie value.
Umuhimu wa somo hili ni kuja kukusaidia katika kuthibitisha taarifa. Tutalifanyia kazi sana somobhili wakati wa kujifunza condition statement.
Tutakwenda hatuwa kwa hatuwa ili tuweze kufikia malengo ya somo yaweze kufikiwa.
Taarifa ambazo tunakwenda kuziangalia kwenue html form ni pamoja na
Hizi zotebkwa pamoja zinaitwa form attribute. Rejea kwenye mafunzo yetu ya html level 2.
<title>User input</title>
<form id="form" method="post" action="processor.php">
<input id="data" name="name" value="" >
<input type="button" onclick="myFnc()" value="check">
</form>
Kisha tutatengeneza paragraph ya html ambayo itakwenda ku display tada zetu. Kumbuka kuipa id hiyo paragraph. Nitakwenda kuipa id ya myP
<p id="myP"></p>
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Katika post hii utakwenda kujifundisha jinsi ya kutengeneza game ya tic toc ya wachezaji wawii kwa utumia html, css na javascript
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kutumia javascript kutengeneza kikokotoo cha hesabu yaani calculator
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu user input. Somo hili litaangalia html form na attribute zake na jinsi zinavyohusiana na user input. Mwisho wa somo hili utaweza kutengeneza simple Calculator kwa kutumia javascript.
Soma Zaidi...Kwa kutumia mfano huu na iliyotangulia unaweza kuweka masharti kadiri uwezavyo. Tukutane somo linalofuata tutajifunza kuhusu switch statement.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function kwenye javascript. Utajifunz apia namna ya kuitumia function hiyo
Soma Zaidi...Katika project hii utakwenda kufunza jinsi utakavyoweza kutengeneza keyboard ya online kwa kutumia javascript
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za data ambazo hutumika kwenye javascript
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza kutengeneza game ya tic toc ya mchezaji mmoja na kompyuta yaani single player
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika variable. Hapa utajifunza sheria zinazohusu variable katika javascript
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu historia ya javacsript pamoja na kazi za javascript. Pia utayajuwa makampuni makubwa yanayotumia javascript.
Soma Zaidi...