Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini
.HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYEPATA JOTO LA JUU ZAIDI (HEAT STROKE)
Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida. Joto linaweza kufika nyuzi 40 za sentigredi. Hali hii inaweza kupelekea kufa kwa viungo vya ndani kama ini, figo moyo na ubongo. Ukikutana na mgonjwa wa hali hii kwa hakika anahitaji huduma ya kwanza haraka iwezekanavyo.
Endapo mgonjwa huyu hduma ya kwanza ikichelewa inaweza kuhatarisha maisha yake ama uharibifu wa afya yake kwa ujumla. Endapo hali hii itaambatana na homa kali, maumivu ya kichwa, kichefuchefu, kutokwa n adamu za pua, ama kuchanganyikiwa mpeleke mgonjwa kituo cha afya. Huduma ya kwanza kwa mgonjwa huyu ni kama ifuatavyo:
1.mpunguzie mgonjwa nguo, abakiwe na nguo laini na chache
2.Mpeleke sehemu iliyopoa nabyenye baridi
3.Mpe maji yaliyopoa anywe
4.Tumia nguo mbichi na iliyopowa, ama sponji lenge maji yaliyopoa, fanya kama una mfuta mgonjwa.
5.Kama kuna feni karibu unaweza utumia ama muweke kwenye IC.
6.kama hali inaendelea basi awahishwe kituo cha afya mara moja
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za tumbo,tumbo ni sehemu ya mwili ambayo ushughilika na kutunza chakula,
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mambo yanayosaidia kuboresha afya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi juu ya kuhakiki kama kidonda kimepona kwa mgonjwa mwenye vidonda, kwanza kabisa tunajua kuwa vidonda uwanyima Watu raha na pengine kuwafanya wakate tamaa kama wapo hospitalini kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza ku
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo maradhi huambukizwa
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Imani potofu juu ya chanjo kwa watoto na akina Mama, ni baadhi ya Imani waliyonayo watu juu ya chanjo.
Soma Zaidi...Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume
Soma Zaidi...