Mambo yanayopelekea ugumba.
Post huu inahusu zaidi mambo yanayopelekea ugumba kwa wanaume, ni mambo ambayo uchangia au upelekea mwanaume kukosa uzazi.
Mambo yanayopelekea mwanaume kukosa uzazi.
1. Maambukizi kwenye via vya uzazi , matumizi mabaya ya ngono zembe, hali hii utokea kwa sababu wadudu wakiingia kwenye via vya uzazi uharibifu kila kitu hasa mazalia ya mbengu na sehemu zinapitunzw kwa hiyo mbegu utoka huko zikiwa dhaifu na kushindwa kurutubisha yai kwa hiyo tunapaswa kutibu maambukizi ili kuepuka janga la ugumba.
2. Kutumia sana vileo kama vile bangi hasa marijuana, pombe kali sana, kuvuta sigara na mambo ya vileo vikali hali huu usababisha mbegu kushindwa kukomaa au vileo hivi uingilia sehemu za kuzalisha mbegu na mbegu hushindwa kukomaa kw hiyo kitendo cha kurutubisha yai huwa kugumu sana, kwa hiyo tunapaswa kuwaambia vijana ukweli hili waache tabia ya kuvuta bangi na vileo vikali ili kuepukana janga la ugumba.
3. Kutumia baadhi ya madawa kwa mda mrefu, kuna madawa ambayo yakitumika kwa mda mrefu usababisha kuaribika kwa mfumo wa kutengeneza uzazi kwa wanaume kwa mfano madawa yanayotumiwa na wagonjwa wa akili yakitumika kwa mda mrefu usababisha matatizo kwenye via vya uzazi kwa wanaume na hatimaye ugumba.
4. Magonjwa sugu yanapotokea kwa mda mrefu kama vile shinikizo la damu na presha. Kuna watoto wanaoza liwa na magonjwa haya au wengine utapata mapema , Magonjwa haya nayo usababisha kuaribika kwa mfumo wa uzazi na hatimaye ugumba kwa hiyo tunapaswa kuepuka na kuwasaidia watoto wetu kuepuka Magonjwa haya kwa nyakati za mwanzoni.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 ai web app 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Uchafu unaotoka ukeni na rangi zake.
Posti hii inahusu zaidi uchafu unaotoka ukeni na rangi zake, kwa kawaida ukeni utolewa uchafu, uchafu huo unaweza kuwa kawaida na unaweza kuwa na rangi mbalimbali kutokana na kuwepo kwa Maambukizi.
Soma Zaidi...Ni ipi hasa siku ambayo nitafute ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kutafuta ujauzito
Soma Zaidi...Upungufu wa homoni ya estrogen
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili.
Soma Zaidi...Mazoezi salama kwa mama mjamzito
Katika kipindi cha ujauzito, kufanya mazoezi kwa usahihi ni muhimu kwa afya ya mama na mtoto. Mazoezi haya yanasaidia kupunguza uchovu, kudhibiti uzito, kupunguza matatizo ya mgongo, na kuongeza hisia za furaha. Somo hili litatoa mwongozo wa aina za mazoezi zinazofaa kwa kila mwezi wa ujauzito, pamoja na mwongozo wa usalama wa kufanya mazoezi haya nyumbani.
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu mapacha wanaofanana
Post hii inahusu zaidi watoto mapacha wanaofanana,ni watoto wanaozaliwa wakiwa wanaofanana kwa sura na hata group la damu huwa ni Moja.
Soma Zaidi...