Mambo yanayopelekea ugumba.

Post huu inahusu zaidi mambo yanayopelekea ugumba kwa wanaume, ni mambo ambayo uchangia au upelekea mwanaume kukosa uzazi.

Mambo yanayopelekea mwanaume kukosa uzazi.

1. Maambukizi kwenye via vya uzazi , matumizi mabaya ya ngono zembe, hali hii utokea kwa sababu wadudu wakiingia kwenye via vya uzazi uharibifu kila kitu hasa mazalia ya mbengu na sehemu zinapitunzw kwa hiyo mbegu utoka huko zikiwa dhaifu na kushindwa kurutubisha yai kwa hiyo tunapaswa kutibu maambukizi ili kuepuka janga la ugumba.

 

2. Kutumia sana vileo kama vile bangi hasa marijuana, pombe kali sana, kuvuta sigara na mambo ya vileo vikali hali huu usababisha mbegu kushindwa kukomaa au vileo hivi uingilia sehemu za kuzalisha mbegu na mbegu hushindwa kukomaa kw hiyo kitendo cha kurutubisha yai huwa kugumu sana, kwa hiyo tunapaswa kuwaambia vijana ukweli hili waache tabia ya kuvuta bangi na vileo vikali ili kuepukana janga la ugumba.

 

3. Kutumia baadhi ya madawa kwa mda mrefu, kuna madawa ambayo yakitumika kwa mda mrefu usababisha kuaribika kwa mfumo wa kutengeneza uzazi kwa wanaume kwa mfano madawa yanayotumiwa na wagonjwa wa akili yakitumika kwa mda mrefu usababisha matatizo kwenye via vya uzazi kwa wanaume na hatimaye ugumba.

 

4. Magonjwa sugu yanapotokea kwa mda mrefu kama vile shinikizo la damu na presha. Kuna watoto wanaoza liwa na magonjwa haya au wengine utapata mapema , Magonjwa haya nayo usababisha  kuaribika kwa mfumo wa uzazi na hatimaye ugumba kwa hiyo tunapaswa kuepuka na kuwasaidia watoto wetu kuepuka Magonjwa haya kwa nyakati za mwanzoni.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/01/29/Saturday - 07:58:01 am     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 716

Post zifazofanana:-

Njia za kutumia Ili kuepuka tatizo la kupungua kwa damu
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa tatizo na kuishiwa damu, kuishiwa damu ni tatizo linolowakumba watu wengi na kusababisha matatizo mengi Soma Zaidi...

Dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kuishiwa damu
Posti hii inahusu zaidi dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kupungukiwadamu, ni dalili zinazoonekana kwa mtu Mwenye tatizo la upungufu wa damu. Soma Zaidi...

Mabadiliko ya Matiti kwa Mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Kumuamini mwenyezi Mungu..
Nguzo za Imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

tatizo la kushindwa kujaza misuli ya mwilini na kusinyaa kwa misuli mwilini
Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa. Soma Zaidi...

Sababu za Kutokwa Damu moja kwa moja bila kuganda (hemophilia).
Posti hii inaelezea kuhusiana na Damu kutokuganda ambalo hujulikana Kama Hemophilia, ni ugonjwa nadra ambapo damu yako haigandi kawaida kwa sababu haina protini za kutosha za kuganda. Ikiwa una tatizo la Damu kutokuganda, unaweza kuvuja damu kwa muda mrefu baada ya jeraha kuliko ungefanya ikiwa damu yako itaganda kawaida. Soma Zaidi...

Zijue kazi za ovari
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa ovari kwenye mwili wa mwanamke. ovari ni sehemu ambapo mayai ya mwanamke hutunza, kwa hiyo kila mwanamke huwa na ovari ambayo husaidia kutunza mayai. Soma Zaidi...

Jifunze jinsi ya kumsaidia mwenye kifafa
Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha nguvu ndio huweza kuadhiri. Pia Kuna kifafa Cha mimba na kifafa Cha kawaida.kifafa Cha mimba ndio kinahatari Sana kuliko Cha Kawaida. Soma Zaidi...

Namna ya kutoa huduma kwa mgonjwa wa Dengue.
Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri. Soma Zaidi...

Dalili za fangasi wa kucha.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha. Soma Zaidi...

Mapendekezo muhimu kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi mapendekezo muhimu kwa wajawazito, haya ni mapendekezo yaliyotolewa na wataalamu wa afya ili wajawazito waweze kule mimba zao vizuri na kuweza kujifungua vizuri na kupata watoto wenye afya njema na makuzi mazuri pasipokuwepo na ulemavu wa aina yoyote ile. Soma Zaidi...

Madhara ya Tiba kemikali kwa wagonjwa wa saratani
Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba kemikali, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wa saratani, madhara haya yanayoweza kuwa ni kwa Sababu mbalimbali kama vile kuaribika kwa seli zinazoendelea kufanya kazi kwenye mwili. Soma Zaidi...