picha

Mambo yanayopelekea ugumba.

Post huu inahusu zaidi mambo yanayopelekea ugumba kwa wanaume, ni mambo ambayo uchangia au upelekea mwanaume kukosa uzazi.

Mambo yanayopelekea mwanaume kukosa uzazi.

1. Maambukizi kwenye via vya uzazi , matumizi mabaya ya ngono zembe, hali hii utokea kwa sababu wadudu wakiingia kwenye via vya uzazi uharibifu kila kitu hasa mazalia ya mbengu na sehemu zinapitunzw kwa hiyo mbegu utoka huko zikiwa dhaifu na kushindwa kurutubisha yai kwa hiyo tunapaswa kutibu maambukizi ili kuepuka janga la ugumba.

 

2. Kutumia sana vileo kama vile bangi hasa marijuana, pombe kali sana, kuvuta sigara na mambo ya vileo vikali hali huu usababisha mbegu kushindwa kukomaa au vileo hivi uingilia sehemu za kuzalisha mbegu na mbegu hushindwa kukomaa kw hiyo kitendo cha kurutubisha yai huwa kugumu sana, kwa hiyo tunapaswa kuwaambia vijana ukweli hili waache tabia ya kuvuta bangi na vileo vikali ili kuepukana janga la ugumba.

 

3. Kutumia baadhi ya madawa kwa mda mrefu, kuna madawa ambayo yakitumika kwa mda mrefu usababisha kuaribika kwa mfumo wa kutengeneza uzazi kwa wanaume kwa mfano madawa yanayotumiwa na wagonjwa wa akili yakitumika kwa mda mrefu usababisha matatizo kwenye via vya uzazi kwa wanaume na hatimaye ugumba.

 

4. Magonjwa sugu yanapotokea kwa mda mrefu kama vile shinikizo la damu na presha. Kuna watoto wanaoza liwa na magonjwa haya au wengine utapata mapema , Magonjwa haya nayo usababisha  kuaribika kwa mfumo wa uzazi na hatimaye ugumba kwa hiyo tunapaswa kuepuka na kuwasaidia watoto wetu kuepuka Magonjwa haya kwa nyakati za mwanzoni.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 1746

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Jinsi ya kuongeza nguvu za kiume

Post hii itakwenda kukuletea orodha ya vyakla vinavyoaminika kuongeza nguvu za kiume.

Soma Zaidi...
Sababu za mimba ya miezi 4-6 kutoka.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Chanzo cha tatizo la mvurugiko wa hedhi.

Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut

Soma Zaidi...
Faida na hasara za kutumia kondomu kama njia ya uzazi wa mpango

Kondomu ni mpira ambao uwekwa kwenye uke au uume kwa ajili ya kuzuia mimba wakati wa kujamiiana

Soma Zaidi...
mkewang alikuwa anasumbuliwa na tumbo kama siku tatu lika tuliya saivi analalamika kiuno na mgongo vina muuma nini tatizo tockt

Maumivu ya tumbo nakiuno kwa mwanamke yanahitaji uangalizi wakina. Kwani kuna sababu nyingi ambazo zinawezakuwa ni chanzo.

Soma Zaidi...
Njia za kuondoa fangasi sehemu za siri

Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume

Soma Zaidi...