Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba
Sababu za ugumba kwa wanawake.
1. Kwanza kabisa ugumba ni hali inayotokea ambapo mwanamke na mwanaume wanaishi kwa mwaka mmoja kwa kujamiiana pasipokutumia aina yoyote ya uzazi wa mpango lakini hawapati mtoto kwa kipindi cha mwaka huo mzima, kuna aina mbili za ugumba.Aina ya kwanza ni pale ambapo mwanaume na mwanamke wanapata moto mmoja na baadae hawapati kabisa na ya pili ni kwamba hawapati mtoto hata mmoja. Zifuatazo ni sababu za ugumba kwa mwanamke.
2. Kuaribika kwa mirija ambayo inasaidia katika mifumo mizima ya kusafirisha yai, kwa mwanamke kuna baadhi ya mirija ambayo usababisha kusafirisha yai wakati wa utungaji wa mimba, mirija hiyo ikiharibiwa ushindwa kupokea yai na kulifikisha sehemu usika, sababu za kuaribika kwa mirija inaweza kuwa ni maambukizi kwenye mirija hiyo au ni kwa sababu ya upasuaji kwa hiyo yai ushindwa kusafiri kutoka kwenye ovari mpaka kwenye follapian kwa ajili ya kurutubishwa.
3. Sababu nyingine ni kuwepo kwa matatizo kwenye mfuko wa uzazi, mfuko wa uzazi kawaida unapaswa kuwa na mazingira mazuri kwa ajili ya kumtunza mtoto, kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye mfumo wa uzazi pamoja na kuwepo kwa uvimbe mtoto hawezi kukua kwenye mfumo wa uzazi kwa hiyo kutibu maambukizi mapema ni vizuri ili kuepukana na tatizo hili la kukosa mtoto.
4.kuwepo kwa acid nyingi kwenye uke. Tunajua wazi kubwa kwenye uke kuna acidi ambayo inapaswa kutunza sehemu hiyo ila acidi ikiwa nyingi huwa inaua mbegu za kiume kwa hiyo acidi ya kwenye uke inapaswa kuwa nne na nusu kwa pH ikizidi hapo inaua mbegu kwa hiyo pakitokea tatizo la ugumba ni vizuri kupima kiwango cha acidi kwenye uke ili kupunguza tatizo la ugumba.
5. Kuwepo kwa ute mzito kwenye uke na cervix, tujue wazi kubwa kwenye uke kwa kawaida huwa kuna ute, ikitokea uke huo kubwa mzito usababisha mbegu kushindwa kupita na kulifikia yai kwa ajili ya kurutubishwa kwa hiyo tunapaswa kuangalia na tatizo la ute endapo kama kuna tatizo la ugumba na kuweza kutumia dawa za kurainisha ute na mbegu zinaweza kupita kwa urahisi.
6. Kuwepo kwa maambukizi kwenye via vya uzazi, tukumbuke kubwa via vya uzazi ni pamoja na uke, cervix na tumbo la uzazi hizi sehemu zikishambuliwa na Maambukizi ni vigumu kupata uja uzito. Hasa maambukizi yatokanayo na ngono zembe kwa hiyo tunapaswa kupima na kutibu mara moja Magonjwa haya ili kuweza kuondoa wimbi hili la ugumba kwa wanawake.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuangalia kama mtoto anapumua pindi anapozaliwa,tunajua kabisa ili kujua na kuelewa kama mtoto yuko hai ni lazima kuangalia upumuaji wa mtoto,ambapo tunaitambua pale anapolia tu.
Soma Zaidi...Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali ambazo zinafanya wajawazito kupata ugonjwa wa Bawasili, kwa sababu tatizo hili linawapa wakina mama wajawazito, kwa hiyo tutaona kwa nini wajawazito wanapatwa na tatizo hili sana.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za PID maana yake ni maambukizi kwenye pelvic kwa kitaalamu huitwa pelvic infection disease, ni ugonjwa unaoshambulia sana wanawake na wasichana
Soma Zaidi...Nimesoma makala yenu, sasa nina swaliJe kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?
Soma Zaidi...Nitakujulisha siku ya kupata mimba na sifa zake, na namna ya kuweza kuitafuta
Soma Zaidi...Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo
Soma Zaidi...