Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa jamii, tunapaswa kujua kuwa uzazi wa mpango ukitumiwa vizuri na jamii nayo inapata faida kwa hiyo zifuatazo ni faida za uzazi wa mpango kwa jamii.
Faida za uzazi wa mpango kwa kwa jamii.
1.Kwanza kabisa jamii inapotumia uzazi wa mpango usaidia Watu kupata sehemu ya kuishi kwa sababu Watu wanakuwa wa kawaida na serikali inaweza kuwapatia sehemu ya kuishi Watu wake.
2.Pia tunaweza kupata huduma za kijamii kwa urahisi, kwa kutumia njia za uzazi wa mpango huduma za kijamii zinapatikana kwa urahisi kwa mfano hospitali, shule na mambo yote yanayohitajika kwa sababu serikali inaweza kuwapatia watu wake mahitaji ya msingi.
3.Pia kwa kutumia njia za uzazi wa mpango Watu wanaweza kupunguza hali ya kukosa ajira kwa sababu ya Watu kuwa wachache na serikali na taasisi binafsi zina uwezo wa kuweza kuwaajili Watu wake kwa hiyo tunapaswa kutumia njia za uzazi wa mpango ili kuweza kupunguza tatizo la ajira
4.Pia kwa kutumia njia za uzazi wa mpango, jamii inaweza kuwa na furaha na ushirikiano kwa sababu idadi ya Watu kwenye mazingira ni ya kawaida na rahisi kupanga kitu kikatimilika kwa sababu mnajuana nyingi kwa nyinyi kwa hiyo ni vizuri kabisa na Watu wanaishi kwa amani na furaha.
5.Kwa hiyo jamii inajua wazi umuhimu wa uzazi wa mpango, inapaswa kuwaiza Watu kutumia njia hizi za uzazi wa mpango ili kuweza kuondoa matatizo yanayotokea kwenye jamii kama vile huduma za kijamii , kukosa ajira, kukosa makazi na mambo mengine kama hayo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya kupunguza maumivu,ni madhara ambayo utokea kwa mtu anayetumia madawa ya kupunguza maumivu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kama kuna Maambukizi yoyote kwenye kitovu cha mtoto mdogo, kwa kawaida kitovu cha mtoto kama kiko vizuri kinapona kwa mda mchache na kinakauka mapema iwezekanavyo bila kuwa na tatizo lolote ila kama kuna Dal
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo mtu anapaswa kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili kisiweze kutokea na pia kama jamii ikishirikiana kwa pamoja tunaweza kuepusha kwa kufanya yafuatayo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa Ugonjwa wa fangasi,ni sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha fangasi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto, ni Maambukizi ambayo yanaweza kutokea kwenye kitovu cha mtoto pale ambapo mtoto amezaliwa inawezekana ni kwa sababu ya hali ya mtoto au huduma kuanzia kwa wakunga na wale wanaotumia mtoto.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu
Soma Zaidi...