Faida za uzazi wa mpango kwa jamii

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa jamii, tunapaswa kujua kuwa uzazi wa mpango ukitumiwa vizuri na jamii nayo inapata faida kwa hiyo zifuatazo ni faida za uzazi wa mpango kwa jamii.

Faida za uzazi wa mpango kwa kwa jamii.

1.Kwanza kabisa jamii inapotumia uzazi wa mpango usaidia Watu kupata sehemu ya kuishi kwa sababu Watu wanakuwa wa kawaida na serikali inaweza kuwapatia sehemu ya kuishi Watu wake.

 

2.Pia  tunaweza kupata huduma za kijamii kwa urahisi, kwa kutumia njia za uzazi wa mpango huduma za kijamii zinapatikana kwa urahisi kwa mfano hospitali, shule na mambo yote yanayohitajika kwa sababu serikali inaweza kuwapatia watu wake mahitaji ya msingi.

 

3.Pia kwa kutumia njia za uzazi wa mpango Watu wanaweza kupunguza hali ya kukosa ajira kwa sababu ya Watu kuwa wachache na serikali na taasisi binafsi zina uwezo wa kuweza kuwaajili Watu wake kwa hiyo tunapaswa kutumia njia za uzazi wa mpango ili kuweza kupunguza tatizo la ajira

 

4.Pia kwa kutumia njia za uzazi wa mpango, jamii inaweza kuwa na furaha na ushirikiano kwa sababu idadi ya Watu kwenye mazingira ni ya kawaida na rahisi kupanga kitu kikatimilika kwa sababu mnajuana nyingi kwa nyinyi kwa hiyo ni vizuri kabisa na Watu wanaishi kwa amani na furaha.

 

5.Kwa hiyo jamii inajua wazi umuhimu wa uzazi wa mpango, inapaswa kuwaiza Watu kutumia njia hizi za uzazi wa mpango ili kuweza kuondoa matatizo yanayotokea kwenye jamii kama vile huduma za kijamii , kukosa ajira, kukosa makazi na mambo mengine kama hayo.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1375

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 web hosting    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

mambo HATARI KWA UJAUZITO (MIMBA) mambo yanayopelekea kujauzito kuwa hatarini kutoka

Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini.

Soma Zaidi...
Dalili za kifafa cha mimba.

Posti hii inahusu zaidi Dalili za Mama mwenye kifafa cha mimba, ili kifafa cha mimba kiweze kutokea lazima kuna dalili ambazo uweza kutokea kwa Mama kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Zijuwe Dalili za minyoo na dalili kuu 9 za minyoo

Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini

Soma Zaidi...
Dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi.

Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi.

Soma Zaidi...
Malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama.

Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kwa mtoto mara tu anapozaliwa

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa mtoto pindi anapozaliwa,tunajua wazi kuwa mtoto anapoanza kutokeza kichwa tu ndio mwanzo wa kuanza kumtunza mtoto na kuhakikisha anafanyiwa huduma zote za muhimu na zinazohitajika.

Soma Zaidi...
Je mwanamke anaweza pata mimba ikiwa wakati watendo la ndoa hakukojoa Wala kusikia raha yoyote ya sex wakati watendo landoa

Je wewe ni mwanmake unayepata shida kufika kileleni? (Kukojoa wakati wa tendo lwa ndoa). Post hii itakujibu baadhi ya maswali yako.

Soma Zaidi...
Faida za Uzazi wa mpango

Posti hii inazungumzia Faida za Uzazi wa mpango kwa watoto, mama, wanandoa, na jamii au JUMUIYA.

Soma Zaidi...