Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ubuyu
faida za kiafya za ubuyu
1. ubuyu una virutubisho kama vitamini C na B, pia ubuyu una madini ya calcium, chuma, potassium na magnesium. Pia ubuyu una protini na fati
2. Husaidia katika kupunguza uzito
3. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
4. Hupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya saratani na kisukari
5. Husaidia mwili kupambana na mashambulizi ya mara kwa mara
6. Huborsha mfumo wa mmeng’enyo wa chakual
7. Husaidia mwili kujilinda dhidi ya maradhi ya moyo
8. Hulinda utumbo na tumbo dhidi ya vidonda vya tumbo
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 2095
Sponsored links
👉1
Madrasa kiganjani
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
kitabu cha Simulizi
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
UPUNGUFU WA PROTINI NA FATI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...
Nazi (coconut oil)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi Soma Zaidi...
VYANZO VYA VYAKULA VYA VITAMINI NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...
JITIBU KWA TIBA ASILI, TIBA ZITOKANAZO NA VYAKULA
1. Soma Zaidi...
TIBA ASILI ZITOKANAZO NA VYAKULA
Soma Zaidi...
Faida za majani ya mstafeli
Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali. Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa mjamzito hasa mimba changa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa Soma Zaidi...
Faida za mchaichai/ lemongrass
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mchaichai Soma Zaidi...
Faida za kula Faida za kula buluu beri
4. Soma Zaidi...
MATUNDA YENYE VITAMINI C KWA WINGI
Matunda yenye vitamni C kwa wingi ni machungwa, maembe, ndimu na limao, endelea kusoma Soma Zaidi...