Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ubuyu
faida za kiafya za ubuyu
1. ubuyu una virutubisho kama vitamini C na B, pia ubuyu una madini ya calcium, chuma, potassium na magnesium. Pia ubuyu una protini na fati
2. Husaidia katika kupunguza uzito
3. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
4. Hupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya saratani na kisukari
5. Husaidia mwili kupambana na mashambulizi ya mara kwa mara
6. Huborsha mfumo wa mmeng’enyo wa chakual
7. Husaidia mwili kujilinda dhidi ya maradhi ya moyo
8. Hulinda utumbo na tumbo dhidi ya vidonda vya tumbo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula vyenye madini kwa wingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari ni tiba ambayo utumiwa sana na wagonjwa wa kisukari na walio wengi na wamefanikiwa kupona
Soma Zaidi...Kwa nini hutakiwi kumpa mtoto wa umri wa chini ya mwaka mmoja kumpa asali?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...