Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ubuyu
faida za kiafya za ubuyu
1. ubuyu una virutubisho kama vitamini C na B, pia ubuyu una madini ya calcium, chuma, potassium na magnesium. Pia ubuyu una protini na fati
2. Husaidia katika kupunguza uzito
3. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
4. Hupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya saratani na kisukari
5. Husaidia mwili kupambana na mashambulizi ya mara kwa mara
6. Huborsha mfumo wa mmeng’enyo wa chakual
7. Husaidia mwili kujilinda dhidi ya maradhi ya moyo
8. Hulinda utumbo na tumbo dhidi ya vidonda vya tumbo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi asili ya madini ya Shaba, ni sehemu ambapo madini ya Shaba yanaweza kupatikana ni katika mimea na wanyama
Soma Zaidi...Kitunguu thaumu ni katika viungo vya mboga na chakula.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.
Soma Zaidi...