picha

Faida za ubuyu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ubuyu

faida za kiafya za ubuyu

1. ubuyu una virutubisho kama vitamini C na B, pia ubuyu una madini ya calcium, chuma, potassium na magnesium. Pia ubuyu una protini na fati

2. Husaidia katika kupunguza uzito

3. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu

4. Hupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya saratani na kisukari

5. Husaidia mwili kupambana na mashambulizi ya mara kwa mara

6. Huborsha mfumo wa mmeng’enyo wa chakual

7. Husaidia mwili kujilinda dhidi ya maradhi ya moyo

8. Hulinda utumbo na tumbo dhidi ya vidonda vya tumbo

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 3493

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 web hosting     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 ai web app     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mayai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mayai

Soma Zaidi...
Matunda yenye Vitamin C kwa wingi

Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.

Soma Zaidi...