picha

Vyakula salama kwa mwenye kisukari

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari

VYAKULA SALAMA KWA MWENYE KISUKARI

1. Samaki hasa wale wenye fati kwa wingi kama samlon na sardines

2. Mbogamboga za majani

3. Palachichi

4. Mayai

5. Mbegu za chia

6. Maharagwe

7. Kitunguu thaumu

8. Nyama yandege wafugwao kama kuku

9. Kahawa

10. Vinywaji visivyowekwa sukari

11. Jusi za mbogamboga

12. Usikoboe mahindi, mchele, na mtama

13. Matunda kwa uchache

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1734

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 ai web app     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Faida za kula Pilipili

Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula fyulisi/ peach

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/peach

Soma Zaidi...
Faida za kula Ndizi

Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za nyanya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kisamvu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kisamvu

Soma Zaidi...