picha

Vyakula salama kwa mwenye kisukari

Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula salama kwa mwenye kisukari

VYAKULA SALAMA KWA MWENYE KISUKARI

1. Samaki hasa wale wenye fati kwa wingi kama samlon na sardines

2. Mbogamboga za majani

3. Palachichi

4. Mayai

5. Mbegu za chia

6. Maharagwe

7. Kitunguu thaumu

8. Nyama yandege wafugwao kama kuku

9. Kahawa

10. Vinywaji visivyowekwa sukari

11. Jusi za mbogamboga

12. Usikoboe mahindi, mchele, na mtama

13. Matunda kwa uchache

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1636

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 web hosting     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Ndizi (banana)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndizi

Soma Zaidi...
Fahamau protini na kazi zake, vyakula vya protini, na athari za upungufu wake.

unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu maji, kazizake mwilini na athari za upungufu wake mwilini

Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa mjamzito hasa mimba changa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya hatari kwa mjamzito hasa mimba changa

Soma Zaidi...