Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.
Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean. pia inapatikana maeneo mengine kama marekani na maeneo yenye joto. Dengue ni katika homa ambazo ni hatari sana. kama ilivyo virusi vua Zika havina chanjo, pia hakuna chanjo ya dengue.
Dengue husambazwa na aina ya mbu waitwao Aedes aegypti. Mbu hawa pia wanang'ata wakati wa mchana tofauti na mbu wa Malaria. Dalili za dengue huweza kutokea siku nne mpaka saba baada ya kung'atwa na mbu.
Dalili za dengue dengue ni:-homa, maumivu ya kichwa, macho, viungio pamoja na misuli au miguu. Ugonjwa wa dengue mara chache hupelekea kifo. Dalili hizi zinakuwa hatari pale mgonjwa anapopata homa ya hemorrhagige. Hii hupelekea mgonjwa kutoka damu, ambayo haikati. Na hali hii pia inaweza kupelekea presha yaani shinikizo la damu kushuka sana.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
kuhusu vitamini C, kuanzia chanzo chake, maana yake, upungufu wake na kazi zake kwenye miili yetu.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kazi kuu tatu za vitamini C
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza vyakula unavyopasa kul ili kuboresha afya ya meno yako. Pia utajifunza vyakula vilivyo hatari kwa afya ya meno yako.
Soma Zaidi...Kukosa choo aina ya kinyesi ni kutoweza kudhibiti kinyesi, hivyo kusababisha kinyesi kuvuja bila kutarajiwa kutoka kwenye puru. Pia huitwa kutoweza kudhibiti utumbo, Upungufu wa kinyesi hutoka kwa kuvuja mara kwa mara kwa kinyesi huku ukipitisha gesi had
Soma Zaidi...Virutubisho vya protini vina kazi nyingi mwilini. Zifuatazo ndio kazi protini mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna au njia za kuandaa mdalasini kwa ajili ya tiba ya homoni imbalance kwa wanawake.
Soma Zaidi...Vijuwe vyakula vya kyongeza nguvu za kiume na mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...