Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi
Faida za kiafya za kula kabichi
1. kabichi lina virutubisho kama protini, vitamini K, A, B6 na C. pia lina madini ya chuma, calcium na magnesium.
2. Husaidia katika kupunguza mashambulizi ya mara kwa mara ya bakteria, virusi na fanasi
3. Husaidia katika kupona kwa haraka kwa majeraha
4. Husaidia kupunguza uharibifu wa seli dhidi ya kemikali mbaya
5. Huboresha afya ya mifupa, misuli na mishipa ya damu
6. Hupunguza uwezekano wa kupata saratani
7. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula na kuzuia kukosa haja
8. Hufanya moyo wako uwe katika afya njema
9. Hushusha presha ya damu
10. Hushusha kiwango cha cholesterol
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1595
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi
👉2 Madrasa kiganjani
👉3 Simulizi za Hadithi Audio
👉4 Kitabu cha Afya
👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉6 Kitau cha Fiqh
Sababu za kuwa na fangasi ukeni
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo. Soma Zaidi...
Zijue Faida ya kula tunda la tango.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Pilipili
Soma Zaidi...
Kazi ya Piriton
Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate. Soma Zaidi...
Tango (cucumber)
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula tango Soma Zaidi...
Faida za kula fyulisi/peach
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula fyulisi/ peach Soma Zaidi...
Mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mara moja
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo. Soma Zaidi...
Faida za kula kabichi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula mahindi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula korosho
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho Soma Zaidi...
Faida za pilipili
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za pilipili Soma Zaidi...
nikiasi gani cha protini kinachohitajika mwilini kwa siku kwa mtumzima
Soma Zaidi...