picha

Faida za kula chungwa na chenza (tangarine)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa na chenza (tangarine)

Faida za Chungwa na Chenza (tangarine)

1. ni chanzo kizuri cha vitamini C

2. Huboresha mfumo wa kinga mwilini

3. Huzuia uharibifu wa ngozi

4. Huboresha presha ya damu

5. Hususha cholesterol mbaya

6. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari

7. Hupunguza hatari ya kupata saratani

8. Husaidia kuboresha afya ya macho

9. Huzuia tatizo la kufunga kwa choo

?

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 3335

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kula tunda pera

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tunda pera

Soma Zaidi...
Faida za kula pilipili

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili

Soma Zaidi...
Zijue Faida ya kula tunda la tango.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za kula tango japokuwa watu wengi hulipuuzia Ila Lina Faida kubwa Sana mwilini.

Soma Zaidi...