picha

Faida za kiafya za stafeli/soursop

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop

Faida za stafeli mwilini

1. Stafeli Lina virutubisho Kama protini, vitamin C na A, pia Lina madini ya potassium na magnesium

2. Hulinda miili yetu dhidi ya kemikali mbaya

3. Husaidia katika kuua seli za saratani

4. Husaidia mwili katika kupambana na bakteria

5. Hulinda mwili dhidi ya kupata vimbe na mashambulizi ya mara kwa mara

6. Hudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu

7. Ni nzuri kwa watu wenye kisukari

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1976

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 web hosting     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito

Posti hii inahusu zaidi hasara za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito.

Soma Zaidi...
Habari ndugu naomba kuuliza eti mtu akipaliwa na asali anakufa?

Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin K

Some Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin K

Soma Zaidi...
Uyoga (mushrooms)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyoweza kuboresha afya ya akili na utendaji wa ubongo.

Ubongo wako ni kama injini ya gari inayofanya kazi masaa 24, hata ukiwa umelala. Mafuta unayoweka kwenye injini hiyo (vyakula unavyokula) ndiyo yanayoamua kama itafanya kazi kwa ufanisi mkubwa au itachoka mapema. Makala haya yanakuletea orodha ya vyakula vyenye uwezo mkubwa wa kuboresha kumbukumbu, kuongeza umakini, na kulinda afya yako ya akili dhidi ya msongo wa mawazo na unyogovu

Soma Zaidi...
Faida za kafya za kula asali

Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali

Soma Zaidi...