Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop
Faida za stafeli mwilini
1. Stafeli Lina virutubisho Kama protini, vitamin C na A, pia Lina madini ya potassium na magnesium
2. Hulinda miili yetu dhidi ya kemikali mbaya
3. Husaidia katika kuua seli za saratani
4. Husaidia mwili katika kupambana na bakteria
5. Hulinda mwili dhidi ya kupata vimbe na mashambulizi ya mara kwa mara
6. Hudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
7. Ni nzuri kwa watu wenye kisukari
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo?
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Usiwashangae wanaokula lima, kwa hakika kuna faida kubwa kiafya kula limao, je unazijuwa faida hizo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za majani ya mstafeli,ni majani ambayo utibu magonjwa mbalimbali hasa saratani, kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili tuweze kupata matibabu ya kansa mbalimbali.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tango
Soma Zaidi...