Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop
Faida za stafeli mwilini
1. Stafeli Lina virutubisho Kama protini, vitamin C na A, pia Lina madini ya potassium na magnesium
2. Hulinda miili yetu dhidi ya kemikali mbaya
3. Husaidia katika kuua seli za saratani
4. Husaidia mwili katika kupambana na bakteria
5. Hulinda mwili dhidi ya kupata vimbe na mashambulizi ya mara kwa mara
6. Hudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
7. Ni nzuri kwa watu wenye kisukari
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa.
Soma Zaidi...