Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za kula zabibu na umuhimu wake kiafya
Faida za kula zabibu kiafya
1. Zabibu Lina virutubisho vingi Kama vile vitamin C, B6 na K pia fati, madini ya shaba na manganese
2. Ina antioxidants zinazohusika kuondoa sumu za kemikali za vyakula mwilini
3. Hupunguza athari ama hatari ya magonjwa Kama kisukari, saratani, magonjwa ya moyo na mishipa ya damu
4. Huondoa stress (msongo wa mawazo)
5. Hushusha shinikizo la damu
6. Huondoa cholesterol mbaya mwilini
7. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
8. Husaidia kuimarisha afya ya macho
9. Huimarisha afya ya ubongo na utunzaji wa kumbukumbu
10. Husaidia kuboresha afya ya mifupa
11. Husaidia kupunguza maambukizi ya baadhi ya bakteria fangasi na virusi
12. Hupunguza kuzeeka mapema
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Hizi ni aina za vyakula ambavyo husaidia katika kuongeza damu kwa wajawazito na watoto.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni/ Olive
Soma Zaidi...Kula uyoga kwa faida kubwa, ja unazijuwa faida za kula uyoga kiafya
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...