Faida za kiafya za kula Nyanya

Faida za kiafya za nyanya
- ni chanzo kizuri cha virutibisho kama protini, sukari, fat na pia nyanya zinatupatia maji
- Pia ni chanzo cha vitamini C, K1 na B9. Pia tunapata madini ya potassium
- Ni nzuri kwa afya ya moyo
- Huzuia kupata saratani
- Ni nzuri kwa fya ya ngozi
- Ni nzuri kwa afya ya macho
- Huzuia tatizo la kukosa choo
- Ni nzuri kwa wenye kisukari
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 web hosting 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Dua za Mitume na Manabii
👉1 Kitau cha Fiqh 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 web hosting 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
VYANZO VYA VYAKULA VYA VITAMINI NA FAIDA ZAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Faida za kula Tufaha (epo)
Tufaha ni katika matunda adimu na matamu, je unazijuwa faida zake kkiafya?
Soma Zaidi...Vyakula kwa wagonjwa wa sukari na utaratibu wao wa lishe
Post hii inakwenda kukufundisha utaratibu wa lishe kwa wagonjwa wenye kisukari pamoja na vyakula salamakwao.
Soma Zaidi...