Faida za kiafya za kula Nyanya

Faida za kiafya za nyanya
- ni chanzo kizuri cha virutibisho kama protini, sukari, fat na pia nyanya zinatupatia maji
- Pia ni chanzo cha vitamini C, K1 na B9. Pia tunapata madini ya potassium
- Ni nzuri kwa afya ya moyo
- Huzuia kupata saratani
- Ni nzuri kwa fya ya ngozi
- Ni nzuri kwa afya ya macho
- Huzuia tatizo la kukosa choo
- Ni nzuri kwa wenye kisukari
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 ai web app
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Karanga (groundnuts)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga
Soma Zaidi...Faida za kula limao
Usiwashangae wanaokula lima, kwa hakika kuna faida kubwa kiafya kula limao, je unazijuwa faida hizo
Soma Zaidi...Faida (matunda) ya kusimamisha swala katika jamii
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...