picha

Faida za kiafya za kula Nyanya

Faida za kiafya za kula Nyanya



Faida za kiafya za nyanya

  1. ni chanzo kizuri cha virutibisho kama protini, sukari, fat na pia nyanya zinatupatia maji
  2. Pia ni chanzo cha vitamini C, K1 na B9. Pia tunapata madini ya potassium
  3. Ni nzuri kwa afya ya moyo
  4. Huzuia kupata saratani
  5. Ni nzuri kwa fya ya ngozi
  6. Ni nzuri kwa afya ya macho
  7. Huzuia tatizo la kukosa choo
  8. Ni nzuri kwa wenye kisukari


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1550

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 web hosting     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Kazi za tunda la papai katika kurekebisha homoni imbalance

Posti hii inahusu zaidi kazi za tunda la mpapai katika kurekebisha homoni.ni tunda ambalo ufanya kazi yake kwa sababu ya kuwepo kwa virutubisho muhimu ndani ya tunda hili.

Soma Zaidi...
Faida za kula tikiti

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti

Soma Zaidi...
Vyakula vya vitamin D

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya vitamin D

Soma Zaidi...
Matunda yaliokuwa na vitamini C vingi

Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai

Soma Zaidi...