picha

Zijuwe faida za kula njegere

zijuwe faida za kula njegere kiafya na umuhimu wa kula jegere pia jifunze njegere zina kazi gani mwilini?

Zijuwe faida za kula njegere


FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA NJEGERE



Njegere ni katika mboga jamii ya kunde. Njegere ni katika mboga tamu kama hujawahi jaribu kuila, tafuta siku ujaribu. Lakini mboga hii ukiacha mbali na utamu wake njegere zimekuwa zikitajwa sana katika njanja za afya. Hivi unazijuwa faida za kula njegere?. hakika ni nyingi sana faida za njegere kiafya, kimwili na hata kwa utamu. Makala hii inakwenda kukuletea faida za kiafya za kula njegere.




Faida za kula njegere
1.Njegere zina virutubisho vingi sana ukilinganisha na mboga nyingi. Njegere zina vitamini A, vitamin K, Vitamini B na Vitamini C. pia njegere zina madini ya chuma, manganense, phosphorus, na folate. Pia negere zina protini na kamakamba. Katika mboga njegere ni katika mboka iliyokusanta protini kwa wingi sana.


2.Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari mwilini. Yaani husaidia katika kudhibiti matumizi ya sukari ndani ya mwili wako. Husaidia kuwapa nafuu watu wenye isukari type 2 diabetes. Hali hii husaidia katika kuboresha afya ya moyo.


3.Njegere husaidia katika kuboresha afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula. Kama unasumbuliwa na kukosa haja kubwa basi njegere ndio mtatuzi wako. Njegere husaidia katika kuondoa vimbe zilizopo kwenye njia ya chakula na kufanya choo kiwe kizito na rahisi kupita kwa urahisi. Njegere husaidia katika kuzuia saratani ya utumbo mkubwa na kusaidia katika kuondosha chakula chote kupitia haja.


4.Njegere huliunda mwili dhidi ya maradhi hatari kama saratani, maradhi ya moyo na kisukari. Kwa sifa hii njegere ni mboga pekee ambayo unatakiwa uile mara nyingi sana kwa lengo la kujikinga na maradhi haya. Hata hivyo kwa ambaye ni mgonjwa tayari mboga hii itamsaidia kupunguza uzito wa tatizo.



A.Husaidia kuzuia maradhi ya moyo: njegere zina madini ya magnesium, potassium na calcium. Ulaji wa chakula chenye madini haya kwa wingi husaidia katika kuzuia shinikizo la juu la damu (presha ya kupanda) ambayo ndio chanzo kikuu cha maradhi ya moyo. Pia ndani ya njegere kula flavonols, carotenoids na vitamini C. wa pamoja husaidia katika kupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya moyo kwa sababu huzuia uharibifu wa seli.


B.Husaidia kuzuia saratani: njegere zina uwezo wa kuzuia uotaji wa vimbe ndani ya mwili ambazo ndio mizizi ya saratani. Pia ndani ya njegere kuna saponin nichembechembe inayojulikana kama kipingamizi cha saratani. Hata hivyo vitamini K ndani ya njegere vinatambulika vyema kuwa na msaada mkubwa katika kuzuia aina mbalimbali za saratani.


C.Nyuzinyuzi na protini katika njegere husaidia sana katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu, na matumizi ya sukari mwilini.pia vitamini B, K, A, C na madini ndani ya ngegere husaidi katika kulinda mwili dhidi ya kisukari.


5.Njegere husaidia katika kuboresha afya ya mifupa.





                   


Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3984

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 web hosting    πŸ‘‰2 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰4 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰5 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰6 ai web app   

Post zinazofanana:

UPUNGUFU WA PROTINI NA FATI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Soma Zaidi...
RANGI ZA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Faida za kula uyoga

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kula uyoga

Soma Zaidi...
VINYWAJI SALAMA KWA MWENYE KISUKARI

Kuchaguwa vinywaji si jambo rahisi, lakini inabidi iwe hivyo kama una tatizo la kisukari. Je unasumbuka kujuwa vinywaji salama? makala hii ni kwa ajili yako, hapa tutaona vinywaji ambavyo ni salama kwa mwenye kisukari.

Soma Zaidi...
Dalili za ukosefu wa madini ya iodini (goiter)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za upungufu wa iodini ambapo kitaalamu hujulikana Kama goiter. Goiter Ni Sababu ya kawaida ya goiter duniani kote ni ukosefu wa iodini katika chakula. Nchini Marekani, ambako utumiaji wa chumvi yenye iodini ni j

Soma Zaidi...