Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Faida za maharage, kunde, njegere, mbaazi na njugu mawe
1. Tunapata virutubisho Kama vile protin, vitamin B, A na K pia madini ya shaba, chuma na manganese
2. Husaidia kushusha sukari na kuboresha kiwango cha insulini
3. Hupunguza uwezekano wa kupata kisukari
4. Hupunguza cholesterol mbaya mwilini
5. Husaidia katika kupunguza uzito
6. Hupunguza hatari ya kupata kisukari
7. Hupunguza uwezekano wa kupata presha
8. Huboresha afya ya mifupa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Uyoga pia ni katika vyakula vya asili, ijapokuwa upatikanaji wake umekuwa mchache siku hizi. Shukrani ziwaendee wataalamu wa kilimo, kwa sasa tunaweza kuzipata mbegu za uyoga kutoka maabara na kulima uyoga popote pale. Wataalamu wa mimea wanaamini kuwa uy
Soma Zaidi...Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili.
Soma Zaidi...Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni..
Soma Zaidi...