Sababu za Mayai kushindwa kuzalishwa kwa mwanamke


image


Posti hii inahusu zaidi sababu za kushindwa kuzalishwa mayai kwa mwanamke, ni tatizo ambalo utokea kwa mwanamke ambapo mwanamke anashindwa kuzalisha mayai.


Sababu za mwanamke kushindwa kuzalisha mayai.

1. Matatizo ya homoni

Homoni ni tatizo bmojawapo ambalo uchangiwa mwanamke nkuzalisha mayai kwa sababu pengine bhomoni uvunja mpangilia kabisa wa kuzalishwa kwa mayai au pengine mpangilio mbaya wa homoni usababisha mayai ambayo yatazalishwa huwa hatyajakomaa, kwa hiyo hali hii usababisha mwanamke kushindwa kuzalisha mayai ambayo yana uwezo wa kuungua na mbegu na kupata mtoto.รขโ‚ฌโ€น

 

2. Kuwepo kwa majeraha na makovu

Kuwepo kwa majeraha kwenye ovari usababisha mwanamke kushindwa kuzalisha mayai kwa wakati mwingine hali hii utokea kwa sababu ya upasuaji wa mara kwa mara inayotokea kwenye sehemu mbalimbali za ovari na usababisha kushindwa kutengenezwa kwa mayai kwenye ovary kwa hiyo wakati wa upasuaji umakini inahitajika Ili kuweza kuepuka madhara ya mayai kushindwa kuzalishwa.

 

3.Kukomaa  kwa hedhi  mapema.

Hili ni tatizo ambalo utokea kwa wanawake ambao wanakaa mda mrefu bila kuzaa wakiwa katika shughuli mbalimbali za maisha kama vile kusoma na kwa wakati mwingine hedhi zao ukoma mapema ikiwa na maana kuwa mayai yanakuwa yameisha hali ambayo upelekea kutokuwepo kwa mayai kwa mwanamke.

 

4.Matatizo ya folicle .

Kuwepo kwa Matatizo kwenye follicle usababisha mayai kushindwa kuzalishwa kwa sababu kwenye follicle  ndimo mayai huzalisha na kukomaa na baadae mayai utolewa wakati wa urutubishwaji, Kuna wakati mwingine  follicle zinashindwa kupasuka na kutoa mayai kwa hiyo follicle baada ya kupasuka Ili kuachia yai zinavimba na mayai yake hali hii usababisha mayai kushindwa kuzalishwa

 

5.Magonjwa mbalimbali.

Kuna magonjwa mbalimbali kwenye ovary ambayo mengine usababishwa na magonjwa ya zinaa ambayo usababisha maambukizi kwenye  ovari na hatimaye ovary inashindwa kuzalisha mayai kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye ovari.sa



Sponsored Posts


  ๐Ÿ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ๐Ÿ‘‰    2 Jifunze Fiqh       ๐Ÿ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ๐Ÿ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms โœ‰ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Sorry kunamchumba wangu katokwa na majimaji meupe na tumbo linamuuma BAADA mda likaacha nidalili za Nini au.nikawaida tu
Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa. Soma Zaidi...

image Mm tumbo linaniuma mara kwa mara na linakua kama linages alaf kichwa kinauma mara kwa mara na nakosa choo wakati mwingine na kiuno kinauma je?inawezakua n ujauzito? Maana nilshirki tendo la ndoa siku ya tano baada ya kutoka hedhi
Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito. Soma Zaidi...

image Sababu za kutokea uvimbe kwenye kizazi.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi. Soma Zaidi...

image Ay ni iv kipimo cha mimb uanz kutoa majb ndan ya mda gan wik mwez au iko vipi?
Kipimo cha Mlimba huweza kuonyesha mimba changa mapema sana. Pia ni rahisi kutumia na kinapatikana kwa bei nafuu. Je ungeoendavkujuwa ni muda gani kinatoa majibu sahihi? Soma Zaidi...

image Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha Soma Zaidi...

image tuseme nilifanya ngono jana na leo nipata period,je kuna uwezekano wa kupata mimba
Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi? Soma Zaidi...

image Fahamu Ute unaotoka wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba. Soma Zaidi...

image je mtu kam anaona dalili za mimb ila akapima nakipim hakijamuonyesha kam ana mimb am hana je kuna uwezekan wakuw anayo
Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali Soma Zaidi...

image Njia za kuongeza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya njia za kuongeza nguvu za kiume Soma Zaidi...

image Huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja.
Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba imetoka moja kwa moja, aina hiyo ya mimba kwa kitaalamu huitwa complete abortion. Soma Zaidi...