Posti hii inahusu zaidi sababu za kushindwa kuzalishwa mayai kwa mwanamke, ni tatizo ambalo utokea kwa mwanamke ambapo mwanamke anashindwa kuzalisha mayai.
Sababu za mwanamke kushindwa kuzalisha mayai.
1. Matatizo ya homoni
Homoni ni tatizo bmojawapo ambalo uchangiwa mwanamke nkuzalisha mayai kwa sababu pengine bhomoni uvunja mpangilia kabisa wa kuzalishwa kwa mayai au pengine mpangilio mbaya wa homoni usababisha mayai ambayo yatazalishwa huwa hatyajakomaa, kwa hiyo hali hii usababisha mwanamke kushindwa kuzalisha mayai ambayo yana uwezo wa kuungua na mbegu na kupata mtoto.รขโฌโน
2. Kuwepo kwa majeraha na makovu
Kuwepo kwa majeraha kwenye ovari usababisha mwanamke kushindwa kuzalisha mayai kwa wakati mwingine hali hii utokea kwa sababu ya upasuaji wa mara kwa mara inayotokea kwenye sehemu mbalimbali za ovari na usababisha kushindwa kutengenezwa kwa mayai kwenye ovary kwa hiyo wakati wa upasuaji umakini inahitajika Ili kuweza kuepuka madhara ya mayai kushindwa kuzalishwa.
3.Kukomaa kwa hedhi mapema.
Hili ni tatizo ambalo utokea kwa wanawake ambao wanakaa mda mrefu bila kuzaa wakiwa katika shughuli mbalimbali za maisha kama vile kusoma na kwa wakati mwingine hedhi zao ukoma mapema ikiwa na maana kuwa mayai yanakuwa yameisha hali ambayo upelekea kutokuwepo kwa mayai kwa mwanamke.
4.Matatizo ya folicle .
Kuwepo kwa Matatizo kwenye follicle usababisha mayai kushindwa kuzalishwa kwa sababu kwenye follicle ndimo mayai huzalisha na kukomaa na baadae mayai utolewa wakati wa urutubishwaji, Kuna wakati mwingine follicle zinashindwa kupasuka na kutoa mayai kwa hiyo follicle baada ya kupasuka Ili kuachia yai zinavimba na mayai yake hali hii usababisha mayai kushindwa kuzalishwa
5.Magonjwa mbalimbali.
Kuna magonjwa mbalimbali kwenye ovary ambayo mengine usababishwa na magonjwa ya zinaa ambayo usababisha maambukizi kwenye ovari na hatimaye ovary inashindwa kuzalisha mayai kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye ovari.sa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
รย Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo usaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.
Soma Zaidi...Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
Soma Zaidi...Kuna watoto wengine huanza kucheza mapema kuliko watoto wengine. Tunapozungumzia kucheza kwa mtoto aliye tumboni yaani mimba hapa inatubidi tuangalie kwa undani zaidi, je ni muda gani mtoto ataanza kucheza?
Soma Zaidi...