picha

Sababu za Mayai kushindwa kuzalishwa kwa mwanamke

Posti hii inahusu zaidi sababu za kushindwa kuzalishwa mayai kwa mwanamke, ni tatizo ambalo utokea kwa mwanamke ambapo mwanamke anashindwa kuzalisha mayai.

Sababu za mwanamke kushindwa kuzalisha mayai.

1. Matatizo ya homoni

Homoni ni tatizo bmojawapo ambalo uchangiwa mwanamke nkuzalisha mayai kwa sababu pengine bhomoni uvunja mpangilia kabisa wa kuzalishwa kwa mayai au pengine mpangilio mbaya wa homoni usababisha mayai ambayo yatazalishwa huwa hatyajakomaa, kwa hiyo hali hii usababisha mwanamke kushindwa kuzalisha mayai ambayo yana uwezo wa kuungua na mbegu na kupata mtoto.​

 

2. Kuwepo kwa majeraha na makovu

Kuwepo kwa majeraha kwenye ovari usababisha mwanamke kushindwa kuzalisha mayai kwa wakati mwingine hali hii utokea kwa sababu ya upasuaji wa mara kwa mara inayotokea kwenye sehemu mbalimbali za ovari na usababisha kushindwa kutengenezwa kwa mayai kwenye ovary kwa hiyo wakati wa upasuaji umakini inahitajika Ili kuweza kuepuka madhara ya mayai kushindwa kuzalishwa.

 

3.Kukomaa  kwa hedhi  mapema.

Hili ni tatizo ambalo utokea kwa wanawake ambao wanakaa mda mrefu bila kuzaa wakiwa katika shughuli mbalimbali za maisha kama vile kusoma na kwa wakati mwingine hedhi zao ukoma mapema ikiwa na maana kuwa mayai yanakuwa yameisha hali ambayo upelekea kutokuwepo kwa mayai kwa mwanamke.

 

4.Matatizo ya folicle .

Kuwepo kwa Matatizo kwenye follicle usababisha mayai kushindwa kuzalishwa kwa sababu kwenye follicle  ndimo mayai huzalisha na kukomaa na baadae mayai utolewa wakati wa urutubishwaji, Kuna wakati mwingine  follicle zinashindwa kupasuka na kutoa mayai kwa hiyo follicle baada ya kupasuka Ili kuachia yai zinavimba na mayai yake hali hii usababisha mayai kushindwa kuzalishwa

 

5.Magonjwa mbalimbali.

Kuna magonjwa mbalimbali kwenye ovary ambayo mengine usababishwa na magonjwa ya zinaa ambayo usababisha maambukizi kwenye  ovari na hatimaye ovary inashindwa kuzalisha mayai kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwenye ovari.sa

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 3593

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito, ni mojawapo ya njia ambazo utumiwa na wahudumu wa afya ili kuweza kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito.

Soma Zaidi...
Je? Naomba kuuliza mkewangu ali ingiya kwenye hezi siku tatu damu ikakata nikakutana nae siku ya nane je? Anaweza pata ujauzito

Idadi ya siku hatari za kupata mimba hutofautiana kutoka kwa mwanamke mmoja namwinhine. Kinda ambao idadivyavsikuvzao za hatari ni nyingi kuliko wengine.

Soma Zaidi...
Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho.

Soma Zaidi...
Mm tumbo linaniuma mara kwa mara na linakua kama linages alaf kichwa kinauma mara kwa mara na nakosa choo wakati mwingine na kiuno kinauma je?inawezakua n ujauzito? Maana nilshirki tendo la ndoa siku ya tano baada ya kutoka hedhi

Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.

Soma Zaidi...
Sababu za ugumba kwa wanawake

Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba

Soma Zaidi...