ADABU ZA KUOMBA DUA

ADABU ZA KUOMBA DUA.

ADABU ZA KUOMBA DUA


ADABU ZA KUOMBA DUA.
1.kuelekea qibla. Amesimulia Abdallah Ibn Zayd ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa โ€œalitoka Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… kwenda kuomba dua ya mvua akaelekea kiblaโ€. (amepokea Bukhari).

2.Kunyanyua mikono miwili juu. Amesimulia Abuu Musa ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa โ€œaliomba Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… dua akanyanyua mikono yake mpaka nikaona weupe wa kwapa lakeโ€ (amepokea Bukhari). Na amesimulia Ibn โ€˜Abas kuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema โ€ "โ€ ุฅูุฐูŽุง ุฏูŽุนูŽูˆู’ุชูŽ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ูŽ ููŽุงุฏู’ุนู ุจูุจูุทููˆู†ู ูƒูŽูู‘ูŽูŠู’ูƒูŽ ูˆูŽู„ุงูŽ ุชูŽุฏู’ุนู ุจูุธูู‡ููˆุฑูู‡ูู…ูŽุง ููŽุฅูุฐูŽุง ููŽุฑูŽุบู’ุชูŽ ููŽุงู…ู’ุณูŽุญู’ ุจูู‡ูู…ูŽุง ูˆูŽุฌู’ู‡ูŽูƒูŽ โ€œmuombeni Allah kwa matumbo ya viganya vyenu, wala msimuombe kwa migongo ya viganja vyenu.โ€ฆโ€. (amepokea Abuu Daud na Bayhaqiy).

3.Kuanza dua kwa kwa kumsifu Allah na kumshukuru (kama kusema alhamdu lillah โ€ฆ.) na kumswalia Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู…. Amesimulia โ€˜Abdullah Ibn Masโ€™ud ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa nilikuwa nikiswali, wakati Mtume yupo na Abuubakar na โ€˜Umar, basi nilipokaa nikaanza kumshukuru Allah na kumsifu na nikamswalia Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… kisha nikajiombea dua, akasema mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… โ€˜omba utapewa, omba utapewaโ€™โ€. (amepokea tirmidh kwa isnad sahih). Na katika masimulizi ya Fudailah Ibn โ€˜Ubayd ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ amesema โ€œhakika amefundisha mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… uma wake jinsi ya kuomba dua akasema โ€˜pindi anapoomba dua mmoja wenu basi aanze na tahmid (kumshukuru Allah) na thanaai (kumsifu Allah) kisha amswalie Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… kisha aombe chochote anachotakaโ€™โ€ โ€"โ€ ุฅูุฐูŽุง ุตูŽู„ู‘ูŽู‰ ุฃูŽุญูŽุฏููƒูู…ู’ ููŽู„ู’ูŠูŽุจู’ุฏูŽุฃู’ ุจูุชูŽุญู’ู…ููŠุฏู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ูˆูŽุงู„ุซู‘ูŽู†ูŽุงุกู ุนูŽู„ูŽูŠู’ู‡ู ุซูู…ู‘ูŽ ู„ููŠูุตูŽู„ู‘ู ุนูŽู„ูŽู‰ ุงู„ู†ู‘ูŽุจููŠู‘ู ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… ุซูู…ู‘ูŽ ู„ููŠูŽุฏู’ุนู ุจูŽุนู’ุฏู ุจูู…ูŽุง ุดูŽุงุกูŽ โ€"โ€ (amepokea Abuu Daud, tirmidh, Ibn Hiban na baihaqy).

4.Kuanza kuomba dua kwa kujiombea mwenyewe. Kwa anayetaka kumuombea mtu mwingine dua anatakiwa aanze na kujiombea mwenyewe. Amesimulia Ubaiya Ibn Kโ€™ab ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa ุนูŽู†ู’ ุฃูุจูŽู‰ู‘ู ุจู’ู†ู ูƒูŽุนู’ุจูุŒ ุฃูŽู†ู‘ูŽ ุฑูŽุณููˆู„ูŽ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… ูƒูŽุงู†ูŽ ุฅูุฐูŽุง ุฐูŽูƒูŽุฑูŽ ุฃูŽุญูŽุฏู‹ุง ููŽุฏูŽุนูŽุง ู„ูŽู‡ู ุจูŽุฏูŽุฃูŽ ุจูู†ูŽูู’ุณูู‡ู โ€œalikuwa mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… anapomkumbuka mtu na akataka kumuombea dua huanza kwa kujiombea mwenyewe kwanza.โ€ (amepokea tirmidh kwa isnad sahih).

5.Kurudia rudia katika kuomba na kusisitiza maombi yako. Ila usiharakishe majibu kutaka kujibiwa haraka hata ukawa unamlaumu Allah. Amesimulia Abdallah ibn Msโ€™ud ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa alikuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… anapenda kuomba mara tatutatu na (akawa) anaomba istighfar (msamaha) mara tatutatu. (amepokea Abu Daud kwa isnad salih).

6.Kuwa na yaqini juu ya kujibiwa na kujiepusha na yaliyo haramu. Mtu anatakiwa asiwe na shaka juu ya kujibiwa dua yake. Amesimulia Abuu Hurairah ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema "โ€ ุงุฏู’ุนููˆุง ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ูŽ ูˆูŽุฃูŽู†ู’ุชูู…ู’ ู…ููˆู‚ูู†ููˆู†ูŽ ุจูุงู„ุฅูุฌูŽุงุจูŽุฉู ูˆูŽุงุนู’ู„ูŽู…ููˆุง ุฃูŽู†ู‘ูŽ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ูŽ ู„ุงูŽ ูŠูŽุณู’ุชูŽุฌููŠุจู ุฏูุนูŽุงุกู‹ ู…ูู†ู’ ู‚ูŽู„ู’ุจู ุบูŽุงููู„ู ู„ุงูŽู‡ู โ€"โ€ โ€œmuombeni Allah mkiwa na yakini juu ya kujibiwa na jueni kuwa Allah hakubali dua ya mtu ambaye moyo wake umeghafilika naye. (amepokea Tirmidh na Alhaakim).

7.Usiharakishe kujibiwa. Isitokee mtu akawa na haraka ya kutaka maombi yake yajibiwe kama anavyotaka yeye kwa haraka hata akawa analaumu. Amesemulia Abuuhurairah ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… amesema "โ€ ูŠูุณู’ุชูŽุฌูŽุงุจู ู„ุฃูŽุญูŽุฏููƒูู…ู’ ู…ูŽุง ู„ูŽู…ู’ ูŠูŽุนู’ุฌูŽู„ู’ ูŠูŽู‚ููˆู„ู ุฏูŽุนูŽูˆู’ุชู ููŽู„ูŽู…ู’ ูŠูุณู’ุชูŽุฌูŽุจู’ ู„ููŠ โ€" โ€œatajibiwa (dua yake ) mmoja wenu maadam hajaharakisha (kujibiwa) akawa anasema nimeomba na wala sijajibiwaโ€. (amepokea Bukhari na Muslim). Na katika masimulizi mengine ya Abuuhrairah kuwa mtume amesema โ€œhataacha mja kujibiwa dua yake maadam hajaomba madhamdhi au kukata uduguโ€. (amepokea Muslim na Abuu Daud). Hii ina maana dua itajibiwa tu ila isiwe ya kuomba madhambi au kukata udugu.

8.Kuitikia โ€œaamiinโ€. Mwenye kuomba dua basi aitikie โ€œaamiinโ€ eidha awe mwenyewe pekee au yupo na kundi la watu. Amesimulia Abuuhurairah ุฑุถู‰ุงู„ู„ู‡ ุนู†ู‡ kuwa Mtume ุตู„ู‘ูŠ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู‘ู… โ€œatakapoomba dua mmoja wenu basi na aitikie โ€˜aamiinโ€™ mwenyeweโ€™โ€. (amepokea Ibn โ€˜Adiy).


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Download App yetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sunnah Main: Dini File: Download PDF Views 968

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰2 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰4 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Sura za kujikinga na Uchawi na mashetani

Post hii itakwenda kukufundisha sura katika Quran ambazo ni kinga dhidi ya Wachawi, uchawi na Masheitwani.

Soma Zaidi...
Historia ya uandishi wa Hadithi, na ni kwa nini wakati wa Mtunme hakukuwa na uandishibmkubwa wa hadithi

Hapa utakwendabkuijuwabhistoria ya uandishi wa hadithi. Pia utaijuwa sababu iliyopelekea uandishi wa hadithi kuwa mdogo .

Soma Zaidi...
Dua za wakati wa shida na taabu

Hizi ni Dua ambazo unatakiwa uziombe wakati wa shida na taabu

Soma Zaidi...
ni nyakati zipi ambazo dua hukubaliwa kwa haraka?

Dua ni moja ya ibada ambazo zinamfanya mja awe karibu na Mweznyezi Mungu. Allah amesisitiza tumuombe dua kwa shida zetu zote, pia akaahidi kuwa atatujibu maombi yetu muda wowote tutakao muomba. Sasa ni zipi nyakati nzuri zaidi kuomb adua?

Soma Zaidi...
Hali ambazo akiwa nazo mwenye kuomba dua dua yake hujibiwa

Post hii inakwenda kukifundisha nibhali zipi ukiwa nazo, basi dua yako kuhubaliwa kwa urahisi.

Soma Zaidi...
UHAKIKI WA HADITHI

Uhakiki wa Hadith za Mtume (s.

Soma Zaidi...
SWALA YA MTUME (s.a.w)

SWALA YA MTUME Kumswalia Mtume (s.

Soma Zaidi...
KUKUSANYIKA KATIKA DUA

KUKUSANYIKA KATIKA DUA.

Soma Zaidi...
Adabu ya kukaa na kula katika nyumba za watu

"Si vibaya kwa kipofu, wala si vibaya kwa kiguru, wala si vibaya kwa mgonjwa, wala kwenu, kama mkila katika nyumba zenu, au nyumba za baba zenu, au nyumba za mama zenu, au nyumba za ndugu zenu, au nyumba za dada zenu, au nyumba za ami zenu, au nyumba za s

Soma Zaidi...