ADABU ZA KUOMBA DUA.
ADABU ZA KUOMBA DUA.
1.kuelekea qibla. Amesimulia Abdallah Ibn Zayd ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa โalitoka Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
kwenda kuomba dua ya mvua akaelekea kiblaโ. (amepokea Bukhari).
2.Kunyanyua mikono miwili juu. Amesimulia Abuu Musa ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa โaliomba Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
dua akanyanyua mikono yake mpaka nikaona weupe wa kwapa lakeโ (amepokea Bukhari). Na amesimulia Ibn โAbas kuwa Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema โ "โ ุฅูุฐูุง ุฏูุนูููุชู ุงูููููู ููุงุฏูุนู ุจูุจูุทูููู ููููููููู ูููุงู ุชูุฏูุนู ุจูุธููููุฑูููู
ูุง ููุฅูุฐูุง ููุฑูุบูุชู ููุงู
ูุณูุญู ุจูููู
ูุง ููุฌููููู โmuombeni Allah kwa matumbo ya viganya vyenu, wala msimuombe kwa migongo ya viganja vyenu.โฆโ. (amepokea Abuu Daud na Bayhaqiy).
3.Kuanza dua kwa kwa kumsifu Allah na kumshukuru (kama kusema alhamdu lillah โฆ.) na kumswalia Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
. Amesimulia โAbdullah Ibn Masโud ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa nilikuwa nikiswali, wakati Mtume yupo na Abuubakar na โUmar, basi nilipokaa nikaanza kumshukuru Allah na kumsifu na nikamswalia Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
kisha nikajiombea dua, akasema mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
โomba utapewa, omba utapewaโโ. (amepokea tirmidh kwa isnad sahih). Na katika masimulizi ya Fudailah Ibn โUbayd ุฑุถูุงููู ุนูู amesema โhakika amefundisha mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
uma wake jinsi ya kuomba dua akasema โpindi anapoomba dua mmoja wenu basi aanze na tahmid (kumshukuru Allah) na thanaai (kumsifu Allah) kisha amswalie Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
kisha aombe chochote anachotakaโโ โ"โ ุฅูุฐูุง ุตููููู ุฃูุญูุฏูููู
ู ููููููุจูุฏูุฃู ุจูุชูุญูู
ููุฏู ุงูููููู ููุงูุซููููุงุกู ุนููููููู ุซูู
ูู ููููุตูููู ุนูููู ุงููููุจูููู ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู
ุซูู
ูู ููููุฏูุนู ุจูุนูุฏู ุจูู
ูุง ุดูุงุกู โ"โ (amepokea Abuu Daud, tirmidh, Ibn Hiban na baihaqy).
4.Kuanza kuomba dua kwa kujiombea mwenyewe. Kwa anayetaka kumuombea mtu mwingine dua anatakiwa aanze na kujiombea mwenyewe. Amesimulia Ubaiya Ibn Kโab ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa ุนููู ุฃูุจูููู ุจููู ููุนูุจูุ ุฃูููู ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ูุณูู
ููุงูู ุฅูุฐูุง ุฐูููุฑู ุฃูุญูุฏูุง ููุฏูุนูุง ูููู ุจูุฏูุฃู ุจูููููุณููู โalikuwa mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
anapomkumbuka mtu na akataka kumuombea dua huanza kwa kujiombea mwenyewe kwanza.โ (amepokea tirmidh kwa isnad sahih).
5.Kurudia rudia katika kuomba na kusisitiza maombi yako. Ila usiharakishe majibu kutaka kujibiwa haraka hata ukawa unamlaumu Allah. Amesimulia Abdallah ibn Msโud ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa alikuwa Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
anapenda kuomba mara tatutatu na (akawa) anaomba istighfar (msamaha) mara tatutatu. (amepokea Abu Daud kwa isnad salih).
6.Kuwa na yaqini juu ya kujibiwa na kujiepusha na yaliyo haramu. Mtu anatakiwa asiwe na shaka juu ya kujibiwa dua yake. Amesimulia Abuu Hurairah ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema "โ ุงุฏูุนููุง ุงูููููู ููุฃูููุชูู
ู ู
ููููููููู ุจูุงูุฅูุฌูุงุจูุฉู ููุงุนูููู
ููุง ุฃูููู ุงูููููู ูุงู ููุณูุชูุฌููุจู ุฏูุนูุงุกู ู
ููู ููููุจู ุบูุงูููู ูุงููู โ"โ
โmuombeni Allah mkiwa na yakini juu ya kujibiwa na jueni kuwa Allah hakubali dua ya mtu ambaye moyo wake umeghafilika naye. (amepokea Tirmidh na Alhaakim).
7.Usiharakishe kujibiwa. Isitokee mtu akawa na haraka ya kutaka maombi yake yajibiwe kama anavyotaka yeye kwa haraka hata akawa analaumu. Amesemulia Abuuhurairah ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema
"โ ููุณูุชูุฌูุงุจู ูุฃูุญูุฏูููู
ู ู
ูุง ููู
ู ููุนูุฌููู ููููููู ุฏูุนูููุชู ููููู
ู ููุณูุชูุฌูุจู ููู โ" โatajibiwa (dua yake ) mmoja wenu maadam hajaharakisha (kujibiwa) akawa anasema nimeomba na wala sijajibiwaโ. (amepokea Bukhari na Muslim). Na katika masimulizi mengine ya Abuuhrairah kuwa mtume amesema โhataacha mja kujibiwa dua yake maadam hajaomba madhamdhi au kukata uduguโ. (amepokea Muslim na Abuu Daud). Hii ina maana dua itajibiwa tu ila isiwe ya kuomba madhambi au kukata udugu.
8.Kuitikia โaamiinโ. Mwenye kuomba dua basi aitikie โaamiinโ eidha awe mwenyewe pekee au yupo na kundi la watu. Amesimulia Abuuhurairah ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
โatakapoomba dua mmoja wenu basi na aitikie โaamiinโ mwenyeweโโ. (amepokea Ibn โAdiy).
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii itakwenda kukufundisha sura katika Quran ambazo ni kinga dhidi ya Wachawi, uchawi na Masheitwani.
Soma Zaidi...Hapa utakwendabkuijuwabhistoria ya uandishi wa hadithi. Pia utaijuwa sababu iliyopelekea uandishi wa hadithi kuwa mdogo .
Soma Zaidi...Hizi ni Dua ambazo unatakiwa uziombe wakati wa shida na taabu
Soma Zaidi...Dua ni moja ya ibada ambazo zinamfanya mja awe karibu na Mweznyezi Mungu. Allah amesisitiza tumuombe dua kwa shida zetu zote, pia akaahidi kuwa atatujibu maombi yetu muda wowote tutakao muomba. Sasa ni zipi nyakati nzuri zaidi kuomb adua?
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukifundisha nibhali zipi ukiwa nazo, basi dua yako kuhubaliwa kwa urahisi.
Soma Zaidi..."Si vibaya kwa kipofu, wala si vibaya kwa kiguru, wala si vibaya kwa mgonjwa, wala kwenu, kama mkila katika nyumba zenu, au nyumba za baba zenu, au nyumba za mama zenu, au nyumba za ndugu zenu, au nyumba za dada zenu, au nyumba za ami zenu, au nyumba za s
Soma Zaidi...