HALI AMBAZO MTU AKIOMBA DUA ITAJIBIWA.
HALI AMBAZO MTU AKIOMBA DUA ITAJIBIWA.
1.Dua ya kumuombea aliye mbali. Chukulia mfano una ndugu yako yupo nchi nyingine ama mji mwingine kisha ukamkumbuka na ukataka kumuombea dua, basi dua hii itajibiwa tu. Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema โhakika dua iliyo nyepesi (na haraka ) kujibiwa ni dua ya mtu kumuombea aliye mbaliโ (amepokea Abuu Daud na Tirmidh kwa isnad sahihi). Pia amesimulia Abuu Dardaa ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema โdua ya mtu muislamu ni yenye kujibiwa anapomuombea ndugu yake aliye mbali. Juu ya kichwa chake kuna Malaika anaitikia โaamiinโ na wewe upate mfano wa wakeโ. (amepokea Ahmd na Muslim).
2.Dua ya mzazi, msafiri na mwenye kudhulumiwa. Hali za watu watatu hawa wakiomba dua Allah atajibu dua zao bila ya shaka. Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema
โ "โ ุซููุงูุซู ุฏูุนูููุงุชู ููุณูุชูุฌูุงุจู ููููููู ูุงู ุดูููู ูููููููู ุฏูุนูููุฉู ุงููู
ูุธููููู
ู ููุฏูุนูููุฉู ุงููู
ูุณูุงููุฑู ููุฏูุนูููุฉู ุงููููุงููุฏู ููููููุฏููู
3.โdua za watu watatu (hawa) ni zenye kujibiwa na hakuna shaka juu ya hili: dua ya mzazi, msafiri na mwenye kudhulumiwaโ. (amepokea Abuu Daud, Ahmad na Tirmidh kwa sanad sahihi).
4.Dua ya mwenye swaum (funga), imamu muadilifu, na mwenye kudhulumiwa. Watu hawa dua zao zitajibiwa tu, kingozi muadilifu, mtu aliyekuwa kwenye funga na kabla hajafuturu na mtu aliyedhulumiwa. Amesema Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
watu watatu dua zao hazirudi: mwenye funga mpaka afutauru, imamu muadilifu (kiongozi muadilifu), na mwenye kudhulumiwa.โฆโฆ.โ (amepokea tirmidh kwa isnad sahihi).
Umeionaje Makala hii.. ?
Hii ni hadithi ya pili katika kitabu cha Arbain Nawawiy
Soma Zaidi...DUA ZA WAKATI WA SHIDA Dua ya wakati wa taabu โLAA ILAAHA ILLA-LLAHUL-โADHIMUL-HALIIMU.
Soma Zaidi...DUA ZA KUONDOA MAUMIVU MWILINI Katika uislamu Allah amejaalia dawa katika kufuata sunnah.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukugundisha dua ambazo itazitumia katika swala yako.
Soma Zaidi...Kukubaliwa kwa dua kunategemea mahusiano yako na Allah. hata hivyo kuna baadhi ya mabo ukiyafanya dua yako inaweza kukubaliwa kwa haraka zaidi. Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu jinsi ya kuomba dua ikubaliwe.
Soma Zaidi...ุนููู ุฃูุจูู ุนูุจูุฏู ุงูุฑููุญูู ููู ุนูุจูุฏู ุงูููููู ุจููู ุนูู ูุฑู ุจููู ุงููุฎูุทููุงุจู ุฑูุถููู ุงูููููู ุนูููููู ูุง ููุงูู: ุณูู ูุนูุช ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตู?...
Soma Zaidi...