HALI AMBAZO MTU AKIOMBA DUA ITAJIBIWA.
HALI AMBAZO MTU AKIOMBA DUA ITAJIBIWA.
1.Dua ya kumuombea aliye mbali. Chukulia mfano una ndugu yako yupo nchi nyingine ama mji mwingine kisha ukamkumbuka na ukataka kumuombea dua, basi dua hii itajibiwa tu. Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema โhakika dua iliyo nyepesi (na haraka ) kujibiwa ni dua ya mtu kumuombea aliye mbaliโ (amepokea Abuu Daud na Tirmidh kwa isnad sahihi). Pia amesimulia Abuu Dardaa ุฑุถูุงููู ุนูู kuwa mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema โdua ya mtu muislamu ni yenye kujibiwa anapomuombea ndugu yake aliye mbali. Juu ya kichwa chake kuna Malaika anaitikia โaamiinโ na wewe upate mfano wa wakeโ. (amepokea Ahmd na Muslim).
2.Dua ya mzazi, msafiri na mwenye kudhulumiwa. Hali za watu watatu hawa wakiomba dua Allah atajibu dua zao bila ya shaka. Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
amesema
โ "โ ุซููุงูุซู ุฏูุนูููุงุชู ููุณูุชูุฌูุงุจู ููููููู ูุงู ุดูููู ูููููููู ุฏูุนูููุฉู ุงููู
ูุธููููู
ู ููุฏูุนูููุฉู ุงููู
ูุณูุงููุฑู ููุฏูุนูููุฉู ุงููููุงููุฏู ููููููุฏููู
3.โdua za watu watatu (hawa) ni zenye kujibiwa na hakuna shaka juu ya hili: dua ya mzazi, msafiri na mwenye kudhulumiwaโ. (amepokea Abuu Daud, Ahmad na Tirmidh kwa sanad sahihi).
4.Dua ya mwenye swaum (funga), imamu muadilifu, na mwenye kudhulumiwa. Watu hawa dua zao zitajibiwa tu, kingozi muadilifu, mtu aliyekuwa kwenye funga na kabla hajafuturu na mtu aliyedhulumiwa. Amesema Mtume ุตููู ุงููู ุนููู ูุณููู
watu watatu dua zao hazirudi: mwenye funga mpaka afutauru, imamu muadilifu (kiongozi muadilifu), na mwenye kudhulumiwa.โฆโฆ.โ (amepokea tirmidh kwa isnad sahihi).
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukufundisha matamshi ambayo mtu akiyatamka Allah hujibu dua hiyo kwa urahisi.
Soma Zaidi...DUA ZA WAKATI WA SHIDA Dua ya wakati wa taabu โLAA ILAAHA ILLA-LLAHUL-โADHIMUL-HALIIMU.
Soma Zaidi...DUA ZA KUONDOA MAUMIVU MWILINI Katika uislamu Allah amejaalia dawa katika kufuata sunnah.
Soma Zaidi...Tanzu za Hadith(1) Tanzu ya UsahihiKulingana na kiwango cha usahihi wa Hadith, Hadith zimegawanywa katika makundi makuu manne:(a) Sahihiย (b) Hasan/Nzuri.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukufundisha dua za kuomba wakati wa kuwa na maumivu kwenye mwili wako.
Soma Zaidi...Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukupa orodha ya dua 10 ambazo unaweza kuziomba kila siku.
Soma Zaidi...