Dalili za za kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu

Dalili za za kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu

Posti hii inahusu zaidi dalili za kuonyesha kuwa Kuna maambukizi kwenye kitovu hasa hasa chini ya kitovu.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Dalili za kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu.

1. Kwanza kabisa dalili ya kwanza kuonyesha kuwa Kuna maambukizi chini ya kitovu ni kuwa maumivu yanaweza kuwa chini ya kitovu, Kati kati ya kitovu, kulia na kushoto kwa kitovu pia Kuna Yale yanayoweza kusambaa 

 

2. Pia maumivu mengine chini ya kitovu uwapata wanawake wale wanaopenda kufanya mapenzi  mara kwa mara na wanaume mbalimbali kwa mara nyingi.

 

3. Na pia Kuna maumivu ambayo uwapata wanawake wakiwa wameinama  , wakati wa kunyanyua vitu vizito, wakati wa kucheka au kuvimba , na wengine wakati wamelala kifudifudi.

 

4. Baada ya kuona maumivu ya namna hii ni njia ya kuona wazi kwamba Kuna maambukizi chini ya kitovu na matibabu ni lazima.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1766

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

 Dalili za maambukizi kwenye uume
Dalili za maambukizi kwenye uume

Post hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye uume, ni dalili ambazo ujitokeza pale maambukizi yanapotokea kwenye uume.

Soma Zaidi...
Yajue magonjwa ya jicho
Yajue magonjwa ya jicho

Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya jicho,ni Magonjwa ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za jicho kwa mfano kwenye retina,kuaribu mishipa ya retina ,macho kuwa makavu na pia mtoto wa jicho, hali hii ya magonjwa ya macho Usababisha madhara mbalimbali kama

Soma Zaidi...
Sababu za Maumivu ya shingo
Sababu za Maumivu ya shingo

Posti hii inazungumzia kuhusiana na maumivu ya shingo na ndani yake kunasababu zinazopelekea shingo kupata maumivu.

Soma Zaidi...
Mie ni mwanamke ninamaumivu chini ya kitovu upande wa kushoto, na nikishika tumbo nahisi kitu kigumu upande huo huo wa kushoto... hii itakua ni nini?
Mie ni mwanamke ninamaumivu chini ya kitovu upande wa kushoto, na nikishika tumbo nahisi kitu kigumu upande huo huo wa kushoto... hii itakua ni nini?

Je unasumbuliwa na maumivuvya tumbo chini ya kitovu upande wa kushito. Post hii itakuletea sababu za maukivubhayo na nini ufanye.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kushoto
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kushoto

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kushoto

Soma Zaidi...
Uvimbe wa mishipa midogo ya Damu kwenye ngozi
Uvimbe wa mishipa midogo ya Damu kwenye ngozi

Posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wenye uchungu wa mishipa midogo ya damu kwenye ngozi yako ambayo hutokea kutokana na ongezeko la joto la ghafla kutokana na halijoto ya baridi. Pia inajulikana kama pernio, chilblain inaweza kusababisha kuwasha,

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutoa huduma ya kwanz akwa liyeshambuliwa na pumu
Jinsi ya kutoa huduma ya kwanz akwa liyeshambuliwa na pumu

Hii ni huduma ya kwanza kwa aliyeshambuliwa na pumu katika mazingira ambayo ni mbali na kituo cha afya, na hakuna dawa.

Soma Zaidi...
Zijue sababu za moyo kutanuka.
Zijue sababu za moyo kutanuka.

Posti hii inahusu zaidi sababu za moyo kutanuka, Kuna kipindi ambapo moyo utoka kwenye hali yake ya kawaida na kutanuka hali ambayo usababisha madhara kwa mwenye tatizo hilo, ila Kuna sababu ambazo usababisha moyo kutanuka kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
  Fahamu Ugonjwa wa Saratani ya seli nyeupe.
Fahamu Ugonjwa wa Saratani ya seli nyeupe.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ambayo hutokea katika aina ya seli nyeupe ya damu inayoitwa seli ya plasma. Seli za plasma hukusaidia kupambana na maambukizo kwa kutengeneza kingamwili zinazotambua na kushambulia vijidudu. Pia husababish

Soma Zaidi...