Posti hii inahusu zaidi dalili za kuonyesha kuwa Kuna maambukizi kwenye kitovu hasa hasa chini ya kitovu.
1. Kwanza kabisa dalili ya kwanza kuonyesha kuwa Kuna maambukizi chini ya kitovu ni kuwa maumivu yanaweza kuwa chini ya kitovu, Kati kati ya kitovu, kulia na kushoto kwa kitovu pia Kuna Yale yanayoweza kusambaa
2. Pia maumivu mengine chini ya kitovu uwapata wanawake wale wanaopenda kufanya mapenzi mara kwa mara na wanaume mbalimbali kwa mara nyingi.
3. Na pia Kuna maumivu ambayo uwapata wanawake wakiwa wameinama , wakati wa kunyanyua vitu vizito, wakati wa kucheka au kuvimba , na wengine wakati wamelala kifudifudi.
4. Baada ya kuona maumivu ya namna hii ni njia ya kuona wazi kwamba Kuna maambukizi chini ya kitovu na matibabu ni lazima.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
AINA ZA MINYOO Minyoo ambao wanaweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu wapo aina nying, lakini hapa nitakueleza aina kuu tatu za minyoo hawa.
Soma Zaidi...Anemia ya upungufu wa vitamini ni ukosefu wa seli nyekundu za damu zenye afya unaosababishwa na kiasi kidogo cha vitamini fulani kuliko kawaida.
Soma Zaidi...Kiharusi cha joto ni hali inayosababishwa na joto la juu la mwili wako, kwa kawaida kama matokeo ya kufichuliwa kwa muda mrefu au bidii ya mwili katika joto la juu. Aina hii mbaya zaidi ya jeraha la joto, kiharusi cha joto kinaweza kutokea ikiwa joto
Soma Zaidi...Utapiamlo Mkali sana (Marasmus) hufafanuliwa kama aina kali ya utapiamlo ambayo ina sifa ya kupoteza. Utapiamlo uliokithiri umeainishwa katika Utapiamlo Mkali sana (SAM) na Utapiamlo Uliokithiri wa Wastani (MAM), kulingana na kiwango cha kupoteza na kuw
Soma Zaidi...Zijuwe sababu kuu zinazokufanya ukahisi maumivu makali ya tumbo kwa chini upande wa kushoto
Soma Zaidi...Upungufu wa maji mwilini hutokea unapotumia au kupoteza Majimaji mengi zaidi ya unayonywa, na mwili wako hauna maji ya kutosha na Majimaji mengine ya kufanya kazi zake za kawaida. Usipochukua nafasi ya Vimiminika vilivyopotea, utapungukiwa na maji.
Soma Zaidi...post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuishiwa damu kwa kitaalamu huitwa(Anemia) ni ugonjwa wa kuishiwa na damu mwilini na kusababisha maisha ya mtu kuwa hatarini
Soma Zaidi...Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo
Soma Zaidi...