picha

Madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu ni madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa pale ambapo matibabu yanapokuwa hayatolewi kwa mgonjwa wa maumivu chini ya kitovu.

Madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu.

1. Kwanza kabisa mirija ya uzazi inajaa maji.

Kwa sababu ya kuendelea kuwepo kwa maambukizi bila ya matibabu yoyote Kuna hatari ya kujaa maji mirija ya uzazi na maji hayo utoa harufu mbaya na pia maji yakiwa mengi uzuia yao kutembea na hivyo ni rahisi kwa Mama kupata ugumba au mimba kushindwa kushika.

 

2. Pia kuendelea kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu usababisha ongezeko kubwa la maambukizi hali ambayo usababisha kutokukomaa kwa mayai kwenye mfuko wa kizazi ambao kwa kitaalamu huitwa ovaries.

 

3. Kuvimba kwa Kuta za mji wa mimba na mini ya uzazi, kwa kawaida kama Kuna maambukizi ambayo yanafikia kiasi cha kuharibu mji wa mimba na Kuta za uzazi Moja kwa Moja uingilia urutubishaji na pia kama Kuna mimba ni rahisi kutoka.

 

4. Pia maambukizi yanaweza kuhathiri pia  kibofu cha mkojo hali hii utokea pale maambukizi yakisha sambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na kusababisha madhara makubwa kwenye kibofu cha mkojo.

 

5. Kwa hiyo tunaona wazi kuwa madhara na matatizo ya kuwepo kwa maambukizi chini ya kibofu cha mkojo usababisha madhara mbalimbali pamoja na ugumba na kuharibu kibofu cha mkojo kwa hiyo ni vizuri kabisa kutibu tatizo Ili kuweza kupunguza madhara yatokanayo kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1834

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Je minyoo inaweza kusababisha mmeng'enyo wa chakula kuwa dhaifu?

Mfumo wa chakula unaweza kuwa dhaifu kwa sababu nyingi ikiwepo vyakula vyenyewe, vinywaji ama maradhi. Vipi kuhusu minyoo? Endelea na makala hii utajifunza zaidi.

Soma Zaidi...
MARADHI YA MOYO: KUPALALAIZI, PRESHA, SHAMBULIZI LA MOYO, Atherosclerosis;

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Dalili za madonda ya koo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Dalili za kifua kikuu kwa watoto.

Posti hii inahusu zaidi dalili za kifua kikuu kwa watoto,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto pindi wanapopata Maambukizi ya kifua kikuu.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia kiungulia

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kuzuia kiungulia

Soma Zaidi...
Je utambuzi wa maambukizi ya ukimwi hupatikana mda gani pale mtu anapoambukizwa

Kuna ukimwi na HIV na kila kimoja kina dalili zake na muda wa kuonyesha hizo dalili.

Soma Zaidi...