Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu ni madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa pale ambapo matibabu yanapokuwa hayatolewi kwa mgonjwa wa maumivu chini ya kitovu.
1. Kwanza kabisa mirija ya uzazi inajaa maji.
Kwa sababu ya kuendelea kuwepo kwa maambukizi bila ya matibabu yoyote Kuna hatari ya kujaa maji mirija ya uzazi na maji hayo utoa harufu mbaya na pia maji yakiwa mengi uzuia yao kutembea na hivyo ni rahisi kwa Mama kupata ugumba au mimba kushindwa kushika.
2. Pia kuendelea kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu usababisha ongezeko kubwa la maambukizi hali ambayo usababisha kutokukomaa kwa mayai kwenye mfuko wa kizazi ambao kwa kitaalamu huitwa ovaries.
3. Kuvimba kwa Kuta za mji wa mimba na mini ya uzazi, kwa kawaida kama Kuna maambukizi ambayo yanafikia kiasi cha kuharibu mji wa mimba na Kuta za uzazi Moja kwa Moja uingilia urutubishaji na pia kama Kuna mimba ni rahisi kutoka.
4. Pia maambukizi yanaweza kuhathiri pia kibofu cha mkojo hali hii utokea pale maambukizi yakisha sambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na kusababisha madhara makubwa kwenye kibofu cha mkojo.
5. Kwa hiyo tunaona wazi kuwa madhara na matatizo ya kuwepo kwa maambukizi chini ya kibofu cha mkojo usababisha madhara mbalimbali pamoja na ugumba na kuharibu kibofu cha mkojo kwa hiyo ni vizuri kabisa kutibu tatizo Ili kuweza kupunguza madhara yatokanayo kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
posti hii inazungumziaTetekuwanga . Tetekwanga(varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, kama vile upele. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya mara kwa mara
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha.
Soma Zaidi...Malengelenge sehemu za siri ni maambukizi ya kawaida ya zinaa ambayo huathiri wanaume na wanawake. Makala ya malengelenge sehemu za siri ni pamoja na maumivu, kuwasha na vidonda katika sehemu yako ya uzazi. Lakini huenda usiwe na dalili au ishara za mal
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalilili za kukosa oksijeni ambalo kitaalamu hujulikana Kama apnea.kukosa oksijeni ni tatizo ambapo kupumua kwako hukoma na kuanza unapolala.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi... Maumivu ya matiti hutokea zaidi kwa watu ambao hawajamaliza hedhi, ingawa yanaweza kutokea baada ya kukoma hedhi.ÂÂ
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UTI upande wa wanawake
Soma Zaidi...Hakuna dawa ya UKIMWI ya kutibu kuondoa virusi mwilini, lakini zipo dawa za kuweza kupunguza makali ya virusi hawa. Hivi unesha jiuliza kuwa je zile dawa zinaongeza damu?
Soma Zaidi...Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu
Soma Zaidi...