Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu ni madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa pale ambapo matibabu yanapokuwa hayatolewi kwa mgonjwa wa maumivu chini ya kitovu.
1. Kwanza kabisa mirija ya uzazi inajaa maji.
Kwa sababu ya kuendelea kuwepo kwa maambukizi bila ya matibabu yoyote Kuna hatari ya kujaa maji mirija ya uzazi na maji hayo utoa harufu mbaya na pia maji yakiwa mengi uzuia yao kutembea na hivyo ni rahisi kwa Mama kupata ugumba au mimba kushindwa kushika.
2. Pia kuendelea kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu usababisha ongezeko kubwa la maambukizi hali ambayo usababisha kutokukomaa kwa mayai kwenye mfuko wa kizazi ambao kwa kitaalamu huitwa ovaries.
3. Kuvimba kwa Kuta za mji wa mimba na mini ya uzazi, kwa kawaida kama Kuna maambukizi ambayo yanafikia kiasi cha kuharibu mji wa mimba na Kuta za uzazi Moja kwa Moja uingilia urutubishaji na pia kama Kuna mimba ni rahisi kutoka.
4. Pia maambukizi yanaweza kuhathiri pia kibofu cha mkojo hali hii utokea pale maambukizi yakisha sambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na kusababisha madhara makubwa kwenye kibofu cha mkojo.
5. Kwa hiyo tunaona wazi kuwa madhara na matatizo ya kuwepo kwa maambukizi chini ya kibofu cha mkojo usababisha madhara mbalimbali pamoja na ugumba na kuharibu kibofu cha mkojo kwa hiyo ni vizuri kabisa kutibu tatizo Ili kuweza kupunguza madhara yatokanayo kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mzio na Dalili zake ni Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu mwenye mzio, kuna wakati watu wengine ushindwa kutambua kuwa ni mzio au la, lakini leo tunaenda kujua Dalili za mzio kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...post hii inaelezea kuhusiana na dalili au ishara na madhara ya Kiungulia ni maumivu ya moto kwenye kifua chako, nyuma ya mfupa wako wa kifua. Maumivu huwa mabaya zaidi wakati wa kulala au kuinama
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia Watu wale ambao wana Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu na kwa kitaalamu huitwa retention of urine.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa upele, ni dalili au mwonekano wa mgonjwa wa upele.
Soma Zaidi...Habari, samahani ninasumbuliwa Sana na mapunye ya kichwani nimetumia dawa takribani miaka 3 ila yanapona Tena baada ya Muda flani yanatokea.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia mtoto akiwa na ugonjwa wa UTI.
Soma Zaidi...Malaria ni katika maradhi ambayo husambazwa na na mbu jike aina ya anopheles.
Soma Zaidi...Kuharibika kwa mimba ni upotevu wa hiari wa ujauzito kabla ya wiki ya 20. Takriban asilimia 10 hadi 20 ya mimba zinazojulikana huisha kwa kuharibika kwa mimba. Lakini idadi halisi labda ni kubwa zaidi kwa sababu mimba nyingi hutokea mapema sana katika u
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...