Madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu ni madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa pale ambapo matibabu yanapokuwa hayatolewi kwa mgonjwa wa maumivu chini ya kitovu.
Madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu.
1. Kwanza kabisa mirija ya uzazi inajaa maji.
Kwa sababu ya kuendelea kuwepo kwa maambukizi bila ya matibabu yoyote Kuna hatari ya kujaa maji mirija ya uzazi na maji hayo utoa harufu mbaya na pia maji yakiwa mengi uzuia yao kutembea na hivyo ni rahisi kwa Mama kupata ugumba au mimba kushindwa kushika.
2. Pia kuendelea kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu usababisha ongezeko kubwa la maambukizi hali ambayo usababisha kutokukomaa kwa mayai kwenye mfuko wa kizazi ambao kwa kitaalamu huitwa ovaries.
3. Kuvimba kwa Kuta za mji wa mimba na mini ya uzazi, kwa kawaida kama Kuna maambukizi ambayo yanafikia kiasi cha kuharibu mji wa mimba na Kuta za uzazi Moja kwa Moja uingilia urutubishaji na pia kama Kuna mimba ni rahisi kutoka.
4. Pia maambukizi yanaweza kuhathiri pia kibofu cha mkojo hali hii utokea pale maambukizi yakisha sambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine na kusababisha madhara makubwa kwenye kibofu cha mkojo.
5. Kwa hiyo tunaona wazi kuwa madhara na matatizo ya kuwepo kwa maambukizi chini ya kibofu cha mkojo usababisha madhara mbalimbali pamoja na ugumba na kuharibu kibofu cha mkojo kwa hiyo ni vizuri kabisa kutibu tatizo Ili kuweza kupunguza madhara yatokanayo kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Dalilili za homa ya matumbo (typhoid fever)
Post hii Ina onyesha DALILI za Homa ya matumbo (typhoid fever) huenea kupitia chakula na maji machafu au kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu aliyeambukizwa. Dalili na ishara kwa kawaida hujumuisha Homa kali, maumivu ya kichwa, maumi
Soma Zaidi...Huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum.
Posti hii inahusu huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum, ni wanawake ambao wana shida ya akili, walionyanyaswa kijinsia, wakimbizi na wote wenye matatizo mbalimbali.
Soma Zaidi...Matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani
Post hii inahusu zaidi matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani, ni njia ya kawaida ya kujitibu vidonda vya tumbo kama tulivyoona.
Soma Zaidi...DALILI ZA MIMBA BAADA YA TENDO LA NDOA
Je unahitaji kujuwa kama umepata ujauzito baada ya kufanya tendo la ndoa? hakika sio rahisi ila kama utakuwa makini utaweza.
Soma Zaidi...Athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito
Post inahusu zaidi athari za Ugonjwa wa herpes simplex kwa wajawazito au ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.ugonjwa huu uleta madhara kwa wajawazito kama tutakavyoona
Soma Zaidi...Yajuwe maradhi ya PID yaani uvimbe kwenye fupanyonga
Posti inazungumzia Ugonjwa kwenye fupa nyonga ambapo kitaalamu hujulikana Kama {Pelvic inflammatory (PID) ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke.
Soma Zaidi...