picha

Sababu za mwanamke kuumwa tumbo y chini ya kitovu.

Posti hii inahusu sababu za mwanamke kuumwa tumbo chini ya kitovu, ni tatizo ambalo limewapata wanawake wengi na pengine sababu ni vigumu kupata au pengine zinapatikana lakini kwa kuchelewa hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwenye mwili.

Sababu za wanawake  kuumwa tumbo la chini ya kitovu.

1. Tunapaswa kufahamu kwamba wanawake wengi upatwa na tatizo hili kwa namna na wakati tofauti tofauti  Kuna wengine hupatwa tumbo la kwenye chini ya kitovu kwa upande wa wa kulia chini ya kitovu, pengine kushoto na pengine katikati ya kitovu.

 

 

 

 

2. Maumivu haya mara kwa mara utokea kwenye kibofu cha mkojo au kati kati ya via vya uzazi vya mwanamke.

 

 

 

3. Mara nyingi ni vigumu kwa sababu ya kuwepo kwa maumivu maka li ila kwa sababu ya dalili ni rahisi kuweza nkutambua Dalili kwa sababu mara nyingine vipimo uweza kutolewa lakina majibu ni tofauti tofauti ila kwa kutumia dalili ni rahisi kugundua tatizo.

 

 

 

 

4. Kw hiyo ni vizuri kabisa kuwaona wataalamu wa afya Ili kuweza kugundua au kumtambua tatizo hili na shida ni nini

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 4551

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Bongolite - Game zone - Play free game     ๐Ÿ‘‰2 Kitabu cha Afya     ๐Ÿ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio     ๐Ÿ‘‰4 web hosting     ๐Ÿ‘‰5 kitabu cha Simulizi     ๐Ÿ‘‰6 ai web app    

Post zinazofanana:

Vidonda vya miguuni kwa wagonjwa wa kisukari.

Kwa nini vidonda vya miguuni ni hatari sana kwa mgonjwa wa kisukari? Sababu kuu ni mbili: Uharibifu wa neva (neuropathy) na mzunguko hafifu wa damu. Mgonjwa anaweza kujikata au kupata malengelenge na asihisi maumivu yoyote, hivyo kidonda kinakua na kuambukizwa bila yeye kujua. Makala haya yanakupa mwongozo wa jinsi ya kulinda miguu yako na nini cha kufanya jeraha linapotokea.

Soma Zaidi...
Tofauti kati ya msongo wa mawazo na unyogovu (Depression).

โ€‹Watu wengi hutumia maneno "msongo wa mawazo" na "unyogovu" kwa kubadilishana, wakidhani ni hali moja. Hata hivyo, kisaikolojia na kimatibabu, hizi ni hali mbili tofauti zenye visababishi, dalili, na mbinu za utatuzi zinazotofautiana. Makala hii inafafanua tofauti za kimsingi kati ya msongo wa mawazo (stress) na unyogovu (depression), jinsi ya kuzitambua, na hatua za kuchukua ili kudhibiti afya yako ya akili.

Soma Zaidi...
NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO

NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupata nafuu kutoka kwa maumivu ya kidonda cha tumbo ikiwa utafata taratibu za kiafya kama:- 1.

Soma Zaidi...
โ€‹Dalili za Mimba ya Siku 7 kwa Mwanamke

โ€‹Makala haya yanachunguza ukweli wa kifizikia kuhusu dalili za mimba katika hatua za awali kabisa (wiki ya kwanza baada ya utungisho). Tutafafanua nini kinatokea ndani ya mwili wa mwanamke ndani ya siku 7 na dalili zinazoweza kujitokeza, pamoja na kusisitiza umuhimu wa subira katika kufanya

Soma Zaidi...
Athari za kutokutibu minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya athari zinazoweza kutokea endapo minyoo haitotibiwa

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kuandika hisia zako (Journaling) kwa afya ya akili.

โ€‹Gundua jinsi ya kuandika hisia zako (journaling) kunavyoweza kuboresha afya ya akili, kupunguza msongo wa mawazo, na kukuza utambuzi binafsi. Soma mwongozo huu wa kitaalamu kuhusu mbinu na faida za kisayansi za uandishi wa kila siku.

Soma Zaidi...